gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,914
- 3,002
Aaaa mshkaji unazingua saizi unatfa wife akati kwenye story umesema wife alikung'ang'ania ukiwa muongo uwage na kumbukumbusijaukwaa ndugu yangu. nipo fit kalikiti. nipo fit kabisa game nyingi nlikuwa natumia condom na pia mimi huwa sidandiii tu mwanamke namwandaa kwanza mpaka awe tayari ndo naingiza. ninyi mnao dandia tu kama unadandia baiskel ambayo bado nayo huwa inasukumwa kwanza.... ndo mna haribu. hata hivyo nlishaacha hiyo michezo sasa natafuta tu wife.hayo ni ya zamani si sasa.