zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Habari za siku Mingi ?
Leo nilikua pale ubungo darajani stand,maeneo haya ni maeneo yangu ya kujidai kabisa toka 2006 napajua ubungo vizuri na washenzi wote wa pale tena enzi za Hamidu mzawa.
Leo naomba nikujulishe wewe mtanzania unaetumia kituo kile ni kwamba kimejaa wasafiri wengi feki,kuna vijana kama thelathini wao hushinda pale kama wasafiri kumbe ni wezi tu,na huwa wana vibegi mgongoni kazi yao kubwa ni kuiba tu.
Kama wewe ni mtumiaji wa eneo hilo kuwa makini sana.Leo nilikaa pale Masaa matatu nikaona walivyo na network yao kubwa.
Kuweni makini.ukifika pale angalia vijana waliovaa mabegi mgongoni wanapokimbikia gari huwa hawapandi.
Yang hayo.
Zubedayo_mchuzi MZEE kutembea mpk chalinze.
Leo nilikua pale ubungo darajani stand,maeneo haya ni maeneo yangu ya kujidai kabisa toka 2006 napajua ubungo vizuri na washenzi wote wa pale tena enzi za Hamidu mzawa.
Leo naomba nikujulishe wewe mtanzania unaetumia kituo kile ni kwamba kimejaa wasafiri wengi feki,kuna vijana kama thelathini wao hushinda pale kama wasafiri kumbe ni wezi tu,na huwa wana vibegi mgongoni kazi yao kubwa ni kuiba tu.
Kama wewe ni mtumiaji wa eneo hilo kuwa makini sana.Leo nilikaa pale Masaa matatu nikaona walivyo na network yao kubwa.
Kuweni makini.ukifika pale angalia vijana waliovaa mabegi mgongoni wanapokimbikia gari huwa hawapandi.
Yang hayo.
Zubedayo_mchuzi MZEE kutembea mpk chalinze.