Onyo kwa wanaopenda kuangalia na kuiga styles za picha za ngono

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,489
79
Kuna wachache ambao hupenda kuangalia picha za ngono na kisha kutaka kuimitate kile walichokiona kwenye hizo movies, mara nyingi kile kinachofanywa kwenye hizo blue huwa ni ngumu kutekelezea kwa hali ya kawaida kutokana na ukweli kuwa mara nyingine staili zinazotumiaka huhitaji mtu kuwa mwanasarakasi ili kuwepo na ufanisi.

Hali huwa mbaya zaidi pindi upande mmoja unapokuwa umeiona hiyo staili husika na kutaka kupractice hiyo staili huku upande wa pili ukiwa haujui lolote kuhusu hiyo staili. Hali hiyo husababisha upande wa pili kuconcetrate zaidi juu ya jinsi gani utaweza kumudu hiyo staili mpya kitendo ambacho humfanya ashindwe kufika tamati!

Wadau wa JF nachotaka kuwaambia wanaoigiza picha za ngono ni professionals hivyo wanafanya kile wanachofanya kama kazi sasa jiulize una haja kweli ya kuiga kile unachokiona kwenye hiyo mikanda?
 
Ni kweli Pape, kwa sababu mambo ya kutengeneza movie ni something professional kwa kuwa imekusudiwa kwa public presentations na hivyo lengo ni kuwa convince wadau wote watakao pata nafasi ya kuiona wajue kwamba mtayarishaji alijiandaa hivyo kuwa tangazo la biashara.

Na mazoezi ya nguvu lazima yalifanyika kabla ya final release, sasa mtu upo na mtu wako mmejifungia hiyo mitindo ya hatari ya nini? wewe timiza mradi wako yatosha, utajavunjika kiuno bure sijui utasema hiyo ajali ilitokea wapi tahadhari kuiga kwingine kunaweza leta hasara, tujihadhari.

Sio kila kinachoonekana kinaigika, waswahili walisema kuiga kunya kwa tembo utapasuka msamba!!
 
Ni kweli Pape, kwa sababu mambo ya kutengeneza movie ni something professional kwa kuwa imekusudiwa kwa public presentations na hivyo lengo ni kuwa convince wadau wote watakao pata nafasi ya kuiona wajue kwamba mtayarishaji alijiandaa hivyo kuwa tangazo la biashara. Na mazoezi ya nguvu lazima yalifanyika kabla ya final release, sasa mtu upo na mtu wako mmejifungia hiyo mitindo ya hatari ya nini? wewe timiza mradi wako yatosha, utajavunjika kiuno bure sijui utasema hiyo ajali ilitokea wapi tahadhari kuiga kwingine kunaweza leta hasara, tujihadhari.

Sio kila kinachoonekana kinaigika, waswahili walisema kuiga kunya kwa tembo utapasuka msamba!!


Umesema sawa, tupo pamoja.


Annina
 
Hivi kuna kitu ambacho binadamu wa kawaida anafanya bila kuiga au kudesa?
 
Hivi kuna kitu ambacho binadamu wa kawaida anafanya bila kuiga au kudesa?
Vipo vingi sana mkuu, na hasa hiki kinachozungumziwa kwenye mada hii. Take your own example mambo ya jigjig ulikwenda tuition wapi? Naamini ulijikuta tu uko busy na mambo yanakwenda!! Ndipo hapa wakoloni (wazungu) wanasema "nature has no medicine" or "there is no treatment for nature"
 
Huu ni uvivu tuu ,huna jipya, ina wezekana hu enjoy sex sasa unataka wengine wawe kama wewe!, mazoezi tutapiga , sarakazi tutapiga na yoga tuta fanya tuu hata ujaze daftari kutuonya!
Sio kila onyo kwenye jamii linamuhusu kila mtu. Kuna watu wanakatazwa kulala nje kwa mfano na kwamba hiyo ni tabia mbaya! Lakini ni dhahiri kwamba onyo hili haliwezi kumuhusu mlinzi sababu unazo!

Tumesema, kwa ninyi ambao ni professionals fanyeni mtakavyo! Tahadhari imewekwa kwa wazee wenzetu ambao kwa mujibu wa umri na pengine maadili, style zitaishia kuwavunja migongo kama sio viuno.

Wengine hata tukienda mango garden au kwingineko wanapokuwepo wazee wa "pinda mugongo" tunaishia kushangilia tu. Sembuse sex style?

Mtoto wa kishua, kumbuka "who the cap fit let them wear it" Keep on and time will tell.
 
Du haya ..si ndo mazoezi yenyewe ya viungo
mala sijui wheelbarrow style loh hatari kweli kweli
 
........Hili nalo neno maana kuna style nyingine kama vile mtu unafanya zoezi, kesho ukiamka mwili wote maumivu. Kuna zile nzuri si mbaya kuiga, lakini nyingine wala sio za kuiga.
 
........Hili nalo neno maana kuna style nyingine kama vile mtu unafanya zoezi, kesho ukiamka mwili wote maumivu. Kuna zile nzuri si mbaya kuiga, lakini nyingine wala sio za kuiga.

Pretty kwani na wewe shemeji anakufanyisha style ngumu jamani ...
 
Du haya ..si ndo mazoezi yenyewe ya viungo
mala sijui wheelbarrow style loh hatari kweli kweli


FL,
Umenikumbusha mbali, Rafiki yangu George ni Mkenya, amekuwa na girlfriend wake wa kizungu kila wakikutana, mwanamke huyo anataka wheelbarrow style then tuka-develop theory ya kizushi tukaiita' George's wheelbarrow theory'
 
Sio kila onyo kwenye jamii linamuhusu kila mtu. Kuna watu wanakatazwa kulala nje kwa mfano na kwamba hiyo ni tabia mbaya! Lakini ni dhahiri kwamba onyo hili haliwezi kumuhusu mlinzi sababu unazo!

Tumesema, kwa ninyi ambao ni professionals fanyeni mtakavyo! Tahadhari imewekwa kwa wazee wenzetu ambao kwa mujibu wa umri na pengine maadili, style zitaishia kuwavunja migongo kama sio viuno.

Wengine hata tukienda mango garden au kwingineko wanapokuwepo wazee wa "pinda mugongo" tunaishia kushangilia tu. Sembuse sex style?

Mtoto wa kishua, kumbuka "who the cap fit let them wear it" Keep on and time will tell.

yaani nimekugongea 'senksi', pole sana kwa maumivu ya mgongo...
 
Huu ni uvivu tuu ,huna jipya, ina wezekana hu enjoy sex sasa unataka wengine wawe kama wewe!, mazoezi tutapiga , sarakazi tutapiga na yoga tuta fanya tuu hata ujaze daftari kutuonya!
sawa sawa...ukikua utaacha....
 
........Hili nalo neno maana kuna style nyingine kama vile mtu unafanya zoezi, kesho ukiamka mwili wote maumivu. Kuna zile nzuri si mbaya kuiga, lakini nyingine wala sio za kuiga.
Vp Pretty, harus ilikuwaje?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom