TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,282
Major... wewe sasa ni captain au hata generali kabisa
Nakushukuru binafsi kwa kuwa courageous enough... kusema ukweli tatizo la TRA na polisi ni letu wenyewe. Ni la kujitakia kwani hakuna mfumo unaopima utendaji wa mtu yoyote.
Mwajiriwa serikali anapimwa kwa namna anavyoishi vyema na bosi wake, mwajiriwa wa polisi au TRA anapimwa na namna anavyompelekea bosi "mboga" na maji ya kunywa.
the real Ben, Ben Mkapa saw this na akaleta good appraisal system na kupatikana kazi kwa ushindani, unfortunately the king of PhD akaona ule ni ujinga kwani wanaokuja hawajui mfumo wa serika, amesahau kwamba mfumo wa serikali haukua na tija, alisahahu kwamba mfumo wa serikali ni wa kiswahiba na majungu
nasema kwamba... huyo Ben wa Tanga ni mmoja tu, wapo kila sehemu, usipoangalia hata mortuary utawakuta... nao huaga majumbani kwamba wanaenda kazini
SITUMII TENA, NITASHIRIKI KUIENEZA HII HABARI MBAYA NA PIA NITASHIRIKI KUENEZA HABARI NJEMA YA BANDARI YA ZANZIBAR
TUMEZIDI SANA SISI
Nakushukuru binafsi kwa kuwa courageous enough... kusema ukweli tatizo la TRA na polisi ni letu wenyewe. Ni la kujitakia kwani hakuna mfumo unaopima utendaji wa mtu yoyote.
Mwajiriwa serikali anapimwa kwa namna anavyoishi vyema na bosi wake, mwajiriwa wa polisi au TRA anapimwa na namna anavyompelekea bosi "mboga" na maji ya kunywa.
the real Ben, Ben Mkapa saw this na akaleta good appraisal system na kupatikana kazi kwa ushindani, unfortunately the king of PhD akaona ule ni ujinga kwani wanaokuja hawajui mfumo wa serika, amesahau kwamba mfumo wa serikali haukua na tija, alisahahu kwamba mfumo wa serikali ni wa kiswahiba na majungu
nasema kwamba... huyo Ben wa Tanga ni mmoja tu, wapo kila sehemu, usipoangalia hata mortuary utawakuta... nao huaga majumbani kwamba wanaenda kazini
SITUMII TENA, NITASHIRIKI KUIENEZA HII HABARI MBAYA NA PIA NITASHIRIKI KUENEZA HABARI NJEMA YA BANDARI YA ZANZIBAR
TUMEZIDI SANA SISI