Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,309
- 92,420
Kuna msemo wa kiswahili usemwao lisemwalo lipo na kama halipo laja ili sipendi lije kwa sababu halina tija kwa wapenda mabadiliko.
Ni wazi CCM sasa inatumia kila aina ya Propaganda ili kuhakikisha Taswira ya CHADEMA inaharibika katika umma au kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe kama inavyofanyika kwa Zitto Kabwe.
Kuna tetesi sasa hivi zimeenea kwamba Josephine anapiga jalamba kugombea Ubunge wa Kawe, kama tetesi hizi ni za kweli na zisipokanushawa basi moja kwa moja Dr Slaa hana sifa za kugombea Urais kwa kushindwa kuisimamia nyumba yake na kushindwa kumdhibiti Josephine katika harakati hizi haramu za kisiasa.
Ila nisiseme mengi kwa sababu hizi ni tetesi nawakaribisha wote waliozipata tetesi hizi ukweli wake ni upi? na kama si kweli ni kwa Josephine asiitishe Press Conference kukanusha hili officially? ni kichaa peke yake ndani ya CHADEMA anayeweza kugombea na Halima Mdee kura za maoni 2015 ili kufanya Halima Mdee asigombee tena.
Nakala kwa Molemo
Ni wazi CCM sasa inatumia kila aina ya Propaganda ili kuhakikisha Taswira ya CHADEMA inaharibika katika umma au kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe kama inavyofanyika kwa Zitto Kabwe.
Kuna tetesi sasa hivi zimeenea kwamba Josephine anapiga jalamba kugombea Ubunge wa Kawe, kama tetesi hizi ni za kweli na zisipokanushawa basi moja kwa moja Dr Slaa hana sifa za kugombea Urais kwa kushindwa kuisimamia nyumba yake na kushindwa kumdhibiti Josephine katika harakati hizi haramu za kisiasa.
Ila nisiseme mengi kwa sababu hizi ni tetesi nawakaribisha wote waliozipata tetesi hizi ukweli wake ni upi? na kama si kweli ni kwa Josephine asiitishe Press Conference kukanusha hili officially? ni kichaa peke yake ndani ya CHADEMA anayeweza kugombea na Halima Mdee kura za maoni 2015 ili kufanya Halima Mdee asigombee tena.
Nakala kwa Molemo