Onyo!!Kama Kuna ndugu yako mwizi wa nyaya za Tanesco !!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
View attachment 18356View attachment 18355View attachment 18354View attachment 18353View attachment 18352View attachment 18351 Tanesco full.JPG View attachment 18349
 
duuh, hao majeruhi wamelazwa wapi? wako muhimbili tukawajulie hali? kweli ile kazi ni balaa
 
You should warn people at the first place, these images are uncomfortable and upsetting ...
 
Picha kama hizi TANESCO wangekuwa wanabandika kwenye transfoma ili kutoa onyo.
 
Kama tunavyoamini sisi binadamu kua siku ya mwisho ya hukumu kule mbinguni kwa wenye dhambi watachomwa moto basi hawa jamaa hukumu yao ni tayari! Duh:shocked:
 
QUOTE=Fidel80;]Picha kama hizi TANESCO wangekuwa wanabandika kwenye transfoma ili kutoa onyo.

Kweli mdau. Kama wanavyofanya baadhi ya sehemu Ulaya kwa kuweka mapicha ya mapafu ya binadamu yaliharibiwa na moshi wa sigara,juu ya pakiti za sigara. Hapa Bongo na sehemu nyingi duniani wanatoa onyo tu la kimaandishi. Mapicha yenye kuonesha madhara ya uvutaji au ya uwizi wa nyaya za umeme na mafuta ya transfoma yangekomesha izo tabia.
 
Kila nguzo ya umeme duniani kote imeandikwa DANGER/HATARI BY IEEE standard so its danger true and the meaning is 0ne second mistake its to die no more or probability!!!
 
Hawa marehemu walidhani ni nyaya za simu au ndio tena ngumbalo imewaponza.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom