Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,058
Kumeibuka Kikundi cha lawama Tanganyika.
Ukiwaza tofauti Na wao unasingiziwa eti unakwamisha Juhudi za rais. Huu ni uzandiki wa hali ya juu Na lazima tuupige vita.
Sisi Juhudi za kuijenga hii nchi tulikuwa nazo tangu kitambo.
Yeye akikomaa na Makinikia nami nikasema naona busara ni kuangalia upya mikataba sikwamishi Juhudi zake bali naendelea Na Juhudi zangu za kutaka uwazi katika mikataba ya madini Na gesi.
Nikisema sivutiwi Dr.Mwakyembe kuongoza wizara ya michezo Na kukosoa uteuzi usiozingatia weledi,historia,taaluma Na maono siyo kwamba nakwamisha Juhudi za Rais bali ni mwendelezo wa Juhudi zangu kutaka teuzi zizingatie vigezo Na tija.
Nikisema demokrasia ni watu Na watu ndiyo sisi wenye haki ya kujumuika Na kukusanyika mikutanoni na kwenye maandamano ya Amani, siyo kwamba nakwamisha juhudi za Rais kutaka watu wachape Kazi...hapana!
Mimi nakuwa naendeleza Juhudi alizonikuta nazo yaani ndoto ya kuona jamii yenye Uhuru,Upendo Na inayoheshimu Uhuru wa kutoa maoni katika mfumo wa vyama vingi.
Kwa mantiki hiyo, sitaki tena MTU anituhumu kizembe ati nakwamisha Juhudi za MTU. Mimi naendelea Na juhudi zangu.
Nini maoni yako?
Ukiwaza tofauti Na wao unasingiziwa eti unakwamisha Juhudi za rais. Huu ni uzandiki wa hali ya juu Na lazima tuupige vita.
Sisi Juhudi za kuijenga hii nchi tulikuwa nazo tangu kitambo.
Yeye akikomaa na Makinikia nami nikasema naona busara ni kuangalia upya mikataba sikwamishi Juhudi zake bali naendelea Na Juhudi zangu za kutaka uwazi katika mikataba ya madini Na gesi.
Nikisema sivutiwi Dr.Mwakyembe kuongoza wizara ya michezo Na kukosoa uteuzi usiozingatia weledi,historia,taaluma Na maono siyo kwamba nakwamisha Juhudi za Rais bali ni mwendelezo wa Juhudi zangu kutaka teuzi zizingatie vigezo Na tija.
Nikisema demokrasia ni watu Na watu ndiyo sisi wenye haki ya kujumuika Na kukusanyika mikutanoni na kwenye maandamano ya Amani, siyo kwamba nakwamisha juhudi za Rais kutaka watu wachape Kazi...hapana!
Mimi nakuwa naendeleza Juhudi alizonikuta nazo yaani ndoto ya kuona jamii yenye Uhuru,Upendo Na inayoheshimu Uhuru wa kutoa maoni katika mfumo wa vyama vingi.
Kwa mantiki hiyo, sitaki tena MTU anituhumu kizembe ati nakwamisha Juhudi za MTU. Mimi naendelea Na juhudi zangu.
Nini maoni yako?