Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,180
- 85,340
Nawakumbusha kwa upole sana, CCM na wengine, tunazo taarifa zenu kuwa mnataka kupandikiza vijana wa UVCCM mkijifanya ni CHADEMA siku ya kesi ya kishenzi mliyompa FM.
Mipango yenu yote tunayao, tunajua vijana mnaowatuma na pesa mnazowapa ili wafanye vurugu then mpate ajenda yenu.
I warn you, kwa upole kabisa, itawatokea puani. Tuna kila technology ya kurekodi hayo matukio na at the right time tutawashughulikia ipasavyo.
Endeleeni kudanganywa na hao Wapuuzi wenzenu.
Mipango yenu yote tunayao, tunajua vijana mnaowatuma na pesa mnazowapa ili wafanye vurugu then mpate ajenda yenu.
I warn you, kwa upole kabisa, itawatokea puani. Tuna kila technology ya kurekodi hayo matukio na at the right time tutawashughulikia ipasavyo.
Endeleeni kudanganywa na hao Wapuuzi wenzenu.