Onyo: Abiria ukipakiwa kwa bodaboda, kama hujavaa kofia/helmet wanakutia ndani na faini 30,000

Tii sheria bila shuruti,hivi hizo nywele huwa ni nzito au nyepesi.Maana huwa naona kama mizigo ya kilo 4 na kuendelea.Halafu jana mvua ilipokuwa inanyesha maeneo ya kinyerezi kuna wadada walikuwa wanahangaika kununua mifuko ya rambo na kufunga vichwa ili kutolowana na kuwa nzito,kazi ipo.
inategemeana na aina ya nywele nyingine ni nzito nyingine ni nyepesi .. zikipata maji huwa zinavunda ndiyo maana tunaweka mifuko ya rambo
 
inategemeana na aina ya nywele nyingine ni nzito nyingine ni nyepesi .. zikipata maji huwa zinavunda ndiyo maana tunaweka mifuko ya rambo
Zinavunda?Kama uvundo wa nini?Halafu nywele nyingi hizi za bandia ni wanachi wa India na nchi nyingine za Asia huenda kunyolewa kwenye vituo maalumu na wajasiriamali kuchemkia dili na kuwa urembo bandia huku kwenye nchi zetu.Eti mwanamke unywele au nywele,nawe pia miss chaga unaamini hivyo?
 
Zinavunda?Kama uvundo wa nini?Halafu nywele nyingi hizi za bandia ni wanachi wa India na nchi nyingine za Asia huenda kunyolewa kwenye vituo maalumu na wajasiriamali kuchemkia dili na kuwa urembo bandia huku kwenye nchi zetu.Eti mwanamke unywele au nywele,nawe pia miss chaga unaamini hivyo?
mwanamke akili nywele ni mbwe mbwe tu
 
Hiyo itafanikiwa sana ila naomba ielekezwe pia kwa abiria wanaokubali kusima ama kukalia ndoo kwenye mabasi na daladala.
Hilo kwenye usafiri wa daladala hususani kwa jiji la dsm linakuwa gumu kutekeleza kwani watumiaji ni wengi mno hususani mida ya asubuhi na jioni, huwezi kuzuia watu wasisimame!! Na kuna kipindi walilijaribu ilishindikana kwanza magari mengi hususani haya ya kichina nafasi ya kusimama abiria ni kubwa kuliko viti vya kukaa!! Na kibiashara hataweza kuhimili itakuwa ni hasara, hayo ya mwendo kasi yenyewe yanategemea abiria wanaosimama ndani ya gari ndii faida ionekane!! Kwa zile gari zinazoenda masafa marefu sawa lakini hizi za town trip ni ngumu!
 
Hiyo ni sawa maana hawa dada zetu wa bongo element wanasema inaambukiza magonjwa lakini huwa wanaazimana nguo mpaka zandani.

Kipi ni bora kuvaa element ya pikipiki kuepusha kifo na buku 30 yako au kuazimana nguo zao .

Wawekwe tu ndani mpaka watii sheria
Bei ya helmet ni 35,000/= hii ndio bora na imara safarini na kwenye lami, ikipasuka ujue umepitiwa na tairi
 
Back
Top Bottom