Jileka
Senior Member
- Apr 1, 2013
- 186
- 114
Wewe ni mtu makini sana Uncle Jei Jei, umesema ukweli mtupu.Sijakataa kuona mbali wala sijasema mtoto kuwa na akili za wazazi!
Nazungumzia exposure Mkuu! Yes, Yeye amesema ametoka familia ya kawaida sana! Lakini kumbuka alisomeshwa Kenya primary then akaja St. Thomas kama sijakosea! Huyu mzazi mwenye uwezo wa kujinyima hivi utamfananisha na mzazi ambaye hajawahi kuona idadi ya noti za elfu kumi zinazotengeneza laki moja!?!
Tunaposema mazingira yana determine future ya mtu, anza kufikiri wale watoto ambao huwa unawaona kwenye TV wakishangilia kuona gari kijijini kwao, wakishangaa mtu aliyevaa viatu, wakishangaa mtu aliyechomekea anapotembelea kijijini kwao! Hakika mtu kama huyu kufika level kama ya ONTARIO kwa umri wake na kwa juhudi zake binafsi!?! Kumbuka hana accessibility ya information zaidi ya taarifa ya mashamba ya babu na bibi!? Shuleni kuelewa lugha ya kiswahili tu taabu!
Mtu kama huyu within 21 yrs aweze kujua Forex trade, sijui Forbes, sijui Aggra n.k n. k!?! bila shaka itakuwa muujiza na huyu lazima ataangaliwa kwa jicho la pekee!
You may think kwamba niko negative but hope ukifikiria kwa undani utagundua kuwa kuna tofauti ya mtu wa mjini kusema anatoka familia ya kawaida na familia hiyo ya kawaida uiweke kwenye mazingira ya vijiji vyetu vya ndani ndani utagundua kitu hata usipokubali hadharani!
All in all, kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa huyu dogo bila kudoubt chochote!
Kikubwa kilichonivutia kwake ambacho wengi kina tu-cost ni lack of confidence! Na hii kwa asilimia kubwa husababishwa na lack of knowledge kwa jambo tunalotaka kufanya!
Nimependa anavyojiamini, anavyosoma sana vitabu (hii nimeona hata kwa Masoud Kipanya) na pia alivyo na moyo wa kutaka kuona na wengine wanafanikiwa!
Spirit kama hii lazima nijiforce inaambukize! Huu ni ugonjwa mzuri sana! Watu wanasema hakuna ugonjwa mzuri ila huu ni mzuri! Kama si mimi basi usiku na mchana nita struggle angalau mmoja wa watakaotoka kiunoni pangu augue huu ugonjwa asiee!!
Hakuna mzazi masikini anaishi tuseme Nyankumbu vijijini (Mkoa wa geita), ata kuwa na uwezo wa kujibana na kumpeleka mwanae Nairobi, ikiwa huyu mzazi hata ile ada ya kipindi kile ya buku teni sijui kwa term kwa shule za day!!?(apa sikumbuki vizuri). Maana hiyo nauli tu ya kwenda shule ni ada tayari ya say, miaka miwili.
Kikubwa hapa cha kujifunza ni kwamba ONTARIO alipata exposure mapema and that he is brilliant to see and grasp opportunities.. Kitu ambacho sio kila mtu anaweza kuwa nacho.
Personally I salute him, for his success and especially at his age. Pengine his dreams and the way he organises his brain in responding to questions around him huwa inajidhirisha kabisa kuwa this is not only a well informed guy but also a very smart one!!!?
Live long ONTARIO,
Sent using Jamii Forums mobile app