Mzee ushatuma elfu 40 kujiunga na pesaship?Jamaa namuelewaga sana
We ni mjinga wa mwisho kama ana malengo aliyojiwekea yanahitaji pesa, kwa nn asijifundishe yeye akapata pesa ili atimize hayo malengo??
Endeleeni kuibiwa hadi mpatw akili maana vichwa vyenu vimejaa maji ndani
Hakuna atayekufundisha mjini uishi vipi, ni akili yako na kujiongeza tu, hawa motivational speakers ni wajinga na wapumbavu kupindukia!
Hata wewe kama una mafanikio nitakuja kujifunza kwa malipo.Toa pesa ukale shule ya ujasiriamali au hutaki Ontario ale ashibe mkuu
Mafanikio ya kulakula sana au?Me mbona ninayo kaka nikutumie screenshot za Forex...??
alikufata akakwambia "nipe 40,000 yako"???Kwahio anapata pesa kwa kutapeli wengine ? Kwanini hii fursa asiifanye bure ..je ni kila kijana mwenye uwezo wa hio elfu 40?
Au kama vipi kwanini hayo anayoyakusudia kusema ya kubadilsha laki moja na ishirini kua milioni 100 asiyaandike tu hapo instagram au aka jirekod video na kuiweka you tube, then again je ni vijana wote wenye simu za smartphone ..well good for the kid anatafuta hela ila asidhulumu elfu 40 za vijana maskini wa kitanzania
Wajinga ni wengi sana. Kwa hyo huyo ontario asingefanya hyo event msingejua jinsi ya kujikwamua?? Yaani ili ujue vizuri kupambana na maisha ni mpaka uhudhuria semaina ya ontario?
Watu wamefundishwa forex na wanaifanya hadi leo,wengine wananufaika na wengine wanatafunwa,huo utapeli wa Sir jeff sijawahi kuuona!! Japo kuna wakati mimi pia nilianza kuamini maneno ya haters kuwa huyu jamaa katapeli watu,kuna mwanafunzi mmoja wa ontario alikuja kunifundisha forex bure baada ya yeye kufundishwa kwa malipo,na hadi sasa naweza kusema huyo jamaa amenisaidia sana,naanza kuona mwanga wa mafanikio kwa forex,nawezq angalau kuingiza dola kumi hadi ishirini kwa siku nzuri nisipoingiza tamaa,kinacho wa cost traders wengi ni tamaa ya kuwa matajiri ndani ya wiki,sijui kama ontario aliwafundisha kuwa wanaweza kuwa ma milionea ndani ya mwezi!! ONTARIO ni kijana mpambanaji aliyejaaliwa vipaji lukuki na anayeweza kuvitumia vipaji vyake vyema kujiinua kiuchumi na kuwainua wengine,ila wabongo kwa fitna wamefuzu.
Ontario akamatwe afungwe jiwe shingoni baharin .. Tena katikat ya bahari... jiwe liwe la tani moja
kama kafanikiwa na anataka vijana wafanikiwe
1.Afundishe bure ufugaj kuku hata insta tu hatutak semina
2.kilimo afundishe insta
3 . afundishe izo janja janja zake za forex insta
4 Aende na Amani ya bwana
lasivyo ni Wizi mtupu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani unampangia kwamba akufanyie kama unavotaka wewe,,, ni mama ako huyo au baba ako au shangazi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli hela anazo na anataka kuwapa watu ujuzi a fanyeni for free hiyo mishe. All I see is some stupid show for those who can't handle business accurately
Mnaosema utapeli huo utapeli uko wapi hapo. Embu punguzeni mihemko.