OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Hahaha kuwa mpole banaNani anataka vya bure wewe zwazwa??..yaani mimi niache kunywa bia nitoe 40K kusikiliza upumbavu??..nenda ukamchangie huyo jamaa hela,si ni zako!
Hahaha kuwa mpole banaNani anataka vya bure wewe zwazwa??..yaani mimi niache kunywa bia nitoe 40K kusikiliza upumbavu??..nenda ukamchangie huyo jamaa hela,si ni zako!
Hao wanaolizwa nao ni wapumbavu tena utakuta na wengine tunao humu humu,kwanini wasichukue hatua wao mpaka serikali mkuu? Serikali ina mambo mengi ya kufanya,haya mengine tunafundishana sisi kupitia mitandao kama hii,muhimu hapa ni sisi tuwape elimu wasio na uwezo wa kuingia kwenye mitandao ya kijamii.wenzako we jangid wa kina John Jackson wazee wa fintegri wanataka kufunga nini? maana hawa wanatapeli zamu kwa zamu
serikali chukueni hatua jamani watu wanalizwa
We ni mjinga wa mwisho kama ana malengo aliyojiwekea yanahitaji pesa, kwa nn asijifundishe yeye akapata pesa ili atimize hayo malengo??Ontario ni Nabii asiye kubalika nyumbani
ila ukweli utabaki pale pale Ontario anasaidia wengine
na kupitia kusaidia wengine hata nae anahitaji kula/avae/aendeshe maisha
Ninaamini na nina uhakika hata yeye ana malengo aliyojiwekea yanayohitaji pesa
ili aweze yatimiza,sasa kuliko aibe au atapeli kwanini asiwafundishe na nyie
mkamlipa kidgogo kama binadamu wengine?? kwanini mnataka kujenga chuki
zisizo na msingi kwa kaka wa watu?? Acheni afanye maisha yake na nyie fanyeni
yenu,kila siku mnamuongelea yeye ila hamuwasemi wachungaji na viongozi wenu
wa dini wanaotafuna sadaka kila leo? shenzi kabsa
Isingekuja hiyo ina maana usingejiongeza mwenyewe? Kwa hyo huyo jamaa ndio daraja lako?? Mjinga wa mwishoNilikua naisubiri kwa hamu nitaenda
Kwahiyo wewe fikayo tomori umeshalipa 40k sio??Hahaha kuwa mpole bana
Hahaha kwa hisani ya Bornamouth tunalipaKwahiyo wewe fikayo tomori umeshalipa 40k sio??
KekunduKekundu kekundu .....
Unawashwa.if u want i will wipe u're ass gently.Punguzeni povu. Hajalazimisha mtu. Kama unaona 40k ni nyingi sio lazima ushiriki. Wapo watakao ona kuna umuhimu wake wataenda.
Aiseeee simuhitaji ONTARIO kuwa millioneaAnakubalika na matahiraaa kana nyie beba familia yako yote akawafundishee muwe mamilionea..
wajinga watu wanaingiza pesa??We ni mjinga wa mwisho kama ana malengo aliyojiwekea yanahitaji pesa, kwa nn asijifundishe yeye akapata pesa ili atimize hayo malengo??
Endeleeni kuibiwa hadi mpatw akili maana vichwa vyenu vimejaa maji ndani
Hakuna atayekufundisha mjini uishi vipi, ni akili yako na kujiongeza tu, hawa motivational speakers ni wajinga na wapumbavu kupindukia!
sipewi kauli na mtu,simezeshwi neno na mtu.Kauli anazowapaa mazuzu wakee Yani watu wa network marketting na forex lazima muwe na vimsemo vya kishujaaaa...!!
Kiruuuuu!Unawashwa.if u want i will wipe u're ass gently.
40k it's nothing sweetheart . I'm just saying asiseme anasaidia kwa malipo ya 40k.
Lazima iwe kitu?Kumpa mtu kitu asichokua na uwezo nacho.
Naona kule Sauzi hela imekata amekuja tena kujichotea kwa wale watu wake.
Kuna siku watakuja kumpa kesi ya utakatishaji/uhujumu uchumi hata amini acha aendelee kujileta leta bongo.
Watu wangu wa pale Jangid mpo?