Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,295
- 5,398
ngoja baadae uanze lalamika hapaShida ya huyu mdogo wangu Ontario anatumia nguvu mingi sana kuwaaminisha watu kua Anatengeneza pesa kwa Forex ambayo kwa mtanzania wa kawaida anaona ni Scam. Nina mdogo wangu wa kike hana Kazi ako Dar hapo alikua anaona nachezea yale ma Candlestick na natengeneza vijisent kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale akatamani nikaanza mpa intro akaboreka ila mpaka leo sijawaimfundisha zaidi nasema aendelee kula kwa wazazi tu.Kushawishi mtu forex ni real kazi sana hasa Mswahili ambae amezoea kazi ni ile kuamka asubui kwenda mahala ukatoke jasho.Jeff angeendelea kufanya hii kitu bila kutumia nguvu ya kushawishi kama watu wa qnet angetoboa mbali sana sasa mbwembwe nyingi ka anaenda ukweni watu wamekosa imani nae.Haoni mwenzie The Bold(habib) anafanya mambo yake kimya kimya na ni trader mkubwa sana ka sie wa akina sisi na hii corona watu wametengeneza sana pesa kupitia Forex.