Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,597
Nimecheka kinoma yani 🤣🤣🤣 watamkata Mandeke sio!Ontario ni kijana mwenye sifa zote za kitapeli. Abadilike sasa, ipo siku huenda atakatwa makende.
Nimecheka kinoma yani 🤣🤣🤣 watamkata Mandeke sio!Ontario ni kijana mwenye sifa zote za kitapeli. Abadilike sasa, ipo siku huenda atakatwa makende.
Sihamasiki kirahisi, hakuna hela nyepesi hivyonadhan huko mbele mbele umekutana na picha ukajua mtoto ni ww
Inasikitisha sana kuona watu wazima dizaini yenu kumuandama kijana wawatu miaka yote chochote afanyacho kwenu ni mavi huu uungu munaojipa wakifedhuri ni ujahili wa hali ya juu usije furahia stuation kama hii kama kijana kama jamii ishakuwa yakifedhuri kihasi hiki hata wewe inaweza kukitokea.
Toka zako hapa halafu we kabinti kiherehere sana
Sio rahisi aisee angalau ningekuwa na hela ya kuchezea bahati nasibuUshapigwa kwenye Forex ndio maana unakuja unalialia uli expect upande ela ubweche ukalizwa ka umechambiwa na Dawa ya colgate rangi 3
Kuna research gani inasema matajiri upanga ? Research nayoifahamu ni iliyofanywa na mwandishi wa kitabu cha The millionaire next door kuhusu millionaire wa marekani , matajiri wengi huishi nje ya miji awa ambao tunabanana nao Town wengi wao ni overspenders tu wa pesa ambao watu wasiojua utafsiri ni matajiri kumbe hawana wealth accumulation kivileKuna tajiri ambae hua anaenda kupanga hosteli za 60,000(elfu sitini) kwa mwezi?
Mara ajiite sir jeff ,mara ontario ,mara sir jeff dennis duh kweli ni shida mtu kila mwaka anachange majina ,Tz na si eti tuna Jeff Bezos wetu, pia uyo uyo Sir Richard Branson, billionaire gani ajikubali😂😂😂Kwa wote mnaosema Forex ni scam
Msichanganye forex na Jeff,,
Forex is real ila jeff anaweza asiwe real (forex sio wizi ila forex traders ndio wanaweza kua wezi)
Mimi nimejifunza na nili focus nayo kipindi kile cha templer na mpesa, na nina idea nayo na ninajua jinsi inavyofanya kazi. Sikuipa kipao mbele kama hao kina Magnetico au 255Millionairs kwa sababu sina uwezo wa kufundisha na kukuza mitaji kupitia ada za wanaojifunza.
Napiga mbanga zangu zikisimama nitarudi kwenye trading. Ni sawa Jeff anaweza kua mwizi au tapeli ila nyie mnaosema forex ni utapeli hapana na wakatalia, angalieni isije kua kushindwa kwenu kuielewa ndo mkaitumia kuisema vibaya.
Sio forex tu, ujuzi wowote asilimia kubwa huwezi kupewa bure ndio maana mashuleni watu wanalipa ada "If you are good in something don't do it for free" hii ni moja ya mbinu itumikayo na watu wengi tu kujipatia kipato cha ziada the same thing kwa hao wanaofundisha forex.
MANENO YA BIBLIA HAYA
Ecclesiastes 11:1
Invest your money in foreign trade, and one of these days you will make a profit.
Maajabu ya karne haya! Naona maajabu leo kukuona hapa!!Ushapigwa kwenye Forex ndio maana unakuja unalialia uli expect upande ela ubweche ukalizwa ka umechambiwa na Dawa ya colgate rangi 3
Ni watu wawil tofauti , sii mtu mmoja, huyo Ontario wa Twitter ni mtu tu kaamua kutumia hilo jina ila Sio mtu mmoja, wote niko nao group moja WhatsApp
ni watu wawili tofaut, hiyo pesa atapewa j5 nitawaletea credentials hapa muingie kwenye accounts muangalie anavyo trade, watu wawil tofauti kabisa
kama issue ingekua "watu wanao juana" somehow ingemake sense, ila sio mtu mmoja huyo
Nawewe, uzi wetu tuombee uachiwe tuendelee kupata vitu konki.Kafiee mbelee huko na wewe...!! Wale wale... Unataka kuanza kumpanga nani sasa???
Boraa wafunguliee tuone watu wamekulanajeee hapaa Tena kipindi cha kampeni hiki balaaaNawewe, uzi wetu tuombee uachiwe tuendelee kupata vitu konki.
Unata utapeliwe? Wajinga wanapostuliwa ukasirika sijui kwa nini , nenda akakufundishe kudownload pesa.Sivan Usitufokeee
Mara ajiite sir jeff ,mara ontario ,mara sir jeff dennis duh kweli ni shida mtu kila mwaka anachange majina ,Tz na si eti tuna Jeff Bezos wetu, pia uyo uyo Sir Richard Branson, billionaire gani ajikubali
Sir Jeff ni mmoja tu duniani sio hizi takataka zinazo download pesa... Ni Sir Jeff BezosMara ajiite sir jeff ,mara ontario ,mara sir jeff dennis duh kweli ni shida mtu kila mwaka anachange majina ,Tz na si eti tuna Jeff Bezos wetu, pia uyo uyo Sir Richard Branson, billionaire gani ajikubali
Miss u more swry lady.Miss u
Miss u more swry lady.
Kila ninapokuona nahisi ni siku ya kupendana tu Kama ndugu. Nakupenda.
Wiki hii nimefungua Hadi account na kuweka kambi kule Twitter kwa ajili ya Ontario ila naona kadhitiwa mapeema sana na wenyeji wa Twitter kabla hajaleta madhara makubwa kwa wanajamii.Hata kule twitter nakuona sana Humble African Aisee
Mkuuuu nimecheka kinoma inabidi ujumbe umfikie bwana ontarioOntario ni kijana mwenye sifa zote za kitapeli. Abadilike sasa, ipo siku huenda atakatwa makende.
Udugu hazina yetu ujue mkuu...!Dah unaleta undugu aisee