T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,516
Sio fair aisee
Udugu hazina yetu ujue mkuu...!
Udugu hazina yetu ujue mkuu...!
Miss u more swry lady.
Kila ninapokuona nahisi ni siku ya kupendana tu Kama ndugu. Nakupenda.
Akili ndogo uyo hawezi mfikia hushpuppi yule mnigeria ni geniousAmeshindwa kufanya km hushpappy?
Ni kwa nini ulete mkuu hapa. Ama ni wewe mwenyewekwahiyo nikileta na hizo credentials za account atakayopewa jamaa utakuja na kauli gani?? au kwa mfano nikakutumia namba ya Ontario alieshinda ukampigia simu akawa sie uliedhan utasema nn ?
kwamba hata ww bla bla ?
Shida ya huyu mdogo wangu Ontario anatumia nguvu mingi sana kuwaaminisha watu kua Anatengeneza pesa kwa Forex ambayo kwa mtanzania wa kawaida anaona ni Scam. Nina mdogo wangu wa kike hana Kazi ako Dar hapo alikua anaona nachezea yale ma Candlestick na natengeneza vijisent kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale akatamani nikaanza mpa intro akaboreka ila mpaka leo sijawaimfundisha zaidi nasema aendelee kula kwa wazazi tu.Kushawishi mtu forex ni real kazi sana hasa Mswahili ambae amezoea kazi ni ile kuamka asubui kwenda mahala ukatoke jasho.Jeff angeendelea kufanya hii kitu bila kutumia nguvu ya kushawishi kama watu wa qnet angetoboa mbali sana sasa mbwembwe nyingi ka anaenda ukweni watu wamekosa imani nae.Haoni mwenzie The Bold(habib) anafanya mambo yake kimya kimya na ni trader mkubwa sana ka sie wa akina sisi na hii corona watu wametengeneza sana pesa kupitia Forex.
Tapeli asiye na akili Tanzania ndo yule alikuwa anaenda vizuri akawachanganya watu Mara Forex mara Ponzi scheme haeleweki anataka kutuletea mambo ya WanigeriaSir Jeff ni mmoja tu duniani sio hizi takataka zinazo download pesa... Ni Sir Jeff Bezos
Akili ndogo uyo hawezi mfikia hushpuppi yule mnigeria ni genious
Hushpuppi uliwahi kumsikia anagawa hela au anatoa challenges si alikuwa anaishi maisha yake ya kifahari tu huku akiwaliza mabeberu millions of moneyJiniaz kakamatwa ?jiniaz kwioo
hata nishasahau jamani
Prof una hasira naye sana .Narudia tena na tena.. Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa sana shingoni atupwe baharini Tena katikat ya bahari....
Fala sana Jamaa Yule.. Yule ni wakutupwa kati kati ya bahari na jiwe kubwa shingoni.....Prof una hasira naye sana .
WeeeeheeeeeheeeeKuna mjengo alipost akasema kawajengea wazazi wakee....wenye nayo wamejitokeza
Hebu niambieJamani acheni utani.
Ontario ashindwe kujenga nyumba ya 50m?
Daaaa
Like seriously?Aliambiwa 'bro delete hizo picha za nyumba ya wazee wangu.'
Hivi ni kabila gani huyu jamaa!?50M za kutoka wapi???? Udownload 50M upo serious kweli wewe.. yule hata Luku iliyosajiliwa kwa jina lake hanaaa...
Woyooo, hajadisco kweli huyWatu wamepost mpaka matokeo yake ya Chuoo Jamaa ni mjingaa tuu
Sijui tapeli la wapi hata.. Kama sio msukuma maana ana ushambaa sana wa helaaHivi ni kabila gani huyu jamaa!?
Hebu best nifafanulie in briefly kumetokea nini huko twitter?Kuna tajiri ambae hua anaenda kupanga hosteli za 60,000(elfu sitini) kwa mwezi?