venchwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 1,677
- 1,592
Nadhani mnalijua kundi la p square, wametengana kisa mwanamke.
Mke wa paul amemshtumu shemeji yake kuwa anataka kumpiga risasi , na kusema anafurahi na inapendeza zaid kama angejitenga awe kivyake,
Hapo juzi mke wa Paul alitishia kuondoka ka wangeendelea kuwa katika group moja Peter na Paul,
Uamuzi wa Paul umeonekana kulali sana upande wa mke wake,
Taarifa kamili ni kwamba Paul anashutumu Peter kufuatilia mke wake, na pia kutaka kumpiga risasi baada ya baadhi ya makubaliano ya siri Kati ya Peter na mke wa Paul kukwama,
Kaka yao mkubwa akaandika kwenye page yake kwamba only a woman can come where there is peace and destroy it,
Fikiria muda waliotumia kujenga umoja wao, eti anatokea nyangau na kuumaliza na kuondoa aman
Kweli wanawake ni hatari tuwe makini, yaan mwanamke amani ya familia yako anaona haimuhusu ye anajali kwao tu. Lakin kwako kaja kama kutalihi,
Mungu atawalipa, hii imenikumbusha baada ya kaka yetu kuoa hata wakaanza kumuona mama ni mchawi anawaloga, hahaha
Mke wa paul amemshtumu shemeji yake kuwa anataka kumpiga risasi , na kusema anafurahi na inapendeza zaid kama angejitenga awe kivyake,
Hapo juzi mke wa Paul alitishia kuondoka ka wangeendelea kuwa katika group moja Peter na Paul,
Uamuzi wa Paul umeonekana kulali sana upande wa mke wake,
Taarifa kamili ni kwamba Paul anashutumu Peter kufuatilia mke wake, na pia kutaka kumpiga risasi baada ya baadhi ya makubaliano ya siri Kati ya Peter na mke wa Paul kukwama,
Kaka yao mkubwa akaandika kwenye page yake kwamba only a woman can come where there is peace and destroy it,
Fikiria muda waliotumia kujenga umoja wao, eti anatokea nyangau na kuumaliza na kuondoa aman
Kweli wanawake ni hatari tuwe makini, yaan mwanamke amani ya familia yako anaona haimuhusu ye anajali kwao tu. Lakin kwako kaja kama kutalihi,
Mungu atawalipa, hii imenikumbusha baada ya kaka yetu kuoa hata wakaanza kumuona mama ni mchawi anawaloga, hahaha