Only in Tanzania, ni nchi gani wananchi Waliwahi kuandamana kumuunga mkono rais kwa kazi nzuri?

Nchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.

Tusubiri kutoka wapi tena Mkuu? wakati wale tuliodhani wangetutoa ndo wanasubiri kubeba vinyesi vya CCM 2020 kama walivofanya 2015?
 
Nchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.

at least kuna wachache wenye akili kama wewe
 
Usitupangie chakufanya
Tumeamua kumuunga mkono rais wetu
Huyu ni Rais wa Watanzania
Ajabu watanzania kumuunga mkono Rais wao
Ficheni upumbavu wenu
Wacheni watu wenye Akili wafanye kile Kilicho mihimu kwao
Wenye akili hawako CCM, by TWAWEZA 2017.
 
Tatizo lenu ni wepesi kusahau au huwa hamjisomei
Uturuki zaidi ya watu milioni moja waliingia mitaani kumuunga mkono Rais Tayyep Erdogan,uingereza watu walishaandamana kumuunga mkono waziri mkuu kuhusiana BREXIT,unaposema ni Tanzania tu unawajaza uongo wenzako
 
Akili yako haina kumbukumbu? Mwalimu Julius K.Nyerere aliwahi kufanyiwa Mandamano makubwa tena nchi nzima wakati wa Kuunga Mkono Azimio la Arusha, Nkwame Nkrumah alifanyiwa manddmano makubwa nchi nzima kumuunga mkono juu ya kuanzisha sera ya usawa kwa wote, Robert Mugabe alifsnyiwa maandamano makubwa nchi nzima kuunga mkono sera ya ardhi kuirudisha kwa Wazawa. Ruselvet wa USA alifanyiwa maandamano nchi nzima, Hitler alifanyiwa msndsmano nchi nzima, Mandela alifanyiwa mandsmano nchi nzima. Sasa Tanzania kufsnya mandsmano wewe inakuuma nini? Au wewe ni Lichadema ?
 
Nchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.
Umeandika point mkuu
 
Hii ndio nchi ya watu walioko tayari kusifiwa tu..

Andamaneni kumkosoa muone mtakavyopigwa mabomu!
 
mkuu akisema jk na mkapa washughulikiwe si mtamshikia bango kwamba anakiuka katiba?? au umesahau kwamba katiba hairuhusu marais wastaafu kushughulikiwa kwa waliyoyafanya wakiwa marais???
Katiba si mligoma kuibadilisha mwaka 2015 na mkatafuna bilioni 100 za walipa kodi bila katiba kupatikana? Katiba ingepita viongozi wangekuwa
na adabu katika madaraka wanayopewa.
CCM ina laana ya nani sijui.
 
Chenge hajapiga hodi huko kwenu mkuu? au yeye hataki kusafishwa na mtambo wa kusafisha MAFISADI nchini.
Sisi tunasubiri Noah zetu mkuu kutoka kwa Jamhuri ya majuha baada ya kulipwa Tsh.trilioni 108 tunazowadai acacia.
 
WEWE NDO KASOME KATIBA RAIS WA TANZANIA ANAWEZA KUSHTAKIWA BAADA AU KABLA YA KUASTAAFU UONGOZI? UNAKURUPUKA KUFOKA WAKATI HUJUI LOLOTE KAA KIMYA WEWE
Tulikuwa na katiba inayopendekezwa mwaka 2015 hapa nchini na vipengele vya kuwabana viongozi hasa marais kwa matendo yao wakiwa katika ofisi ya umma. CCM walikataa vipengele hivyo visipite na mengi tu waliyakataa kwa maslahi yao.upinzani waliamua kutoshiriki kupitisha katiba ya CCM ambayo hata hivyo haikufanikiwa kupatikana. Hapo ni bilioni 100 na ushee za walipa kodi zimetumika.
Ni unafiki wa CCM kwa sasa kujifanya inapigania haki za wananchi wakati waliotuingiza kwenye matatizo wapo na hawatakiwi kuguswa. Mna laana nyie.
Yule kabudi waziri wa sheria ni mnafiki sijawahi kuona .wakati wa mchakato wa katiba wao ndio walikuwa wataalamu wakishauri vizuri kabisa leo hii amepewa cheo na serikali anatetea mambo ya kipuuzi.
 
Tusubiri kutoka wapi tena Mkuu? wakati wale tuliodhani wangetutoa ndo wanasubiri kubeba vinyesi vya CCM 2020 kama walivofanya 2015?
Mkuu Mimi kwa sasa nasubiri Noah yangu kutoka kwa jamhuri ya majuha baada ya kulipwa Tsh.trilioni 108 kutoka kwa acacia. Hayo ya 2020 tusubiri itakapofika tutaona kwanza tumepigwa marufuku kufanya siasa mpaka 2020 au huna habari.
 
Uzuzu ni kudeki barabara ili aliyenadiwa kama fisadi papa kwa miaka 8+ apite!
Mnahangaika kumjadili mtu ambaye hakusanyi kodi za wananchi wala hajapewa mamlaka ya kuongoza nchi? Huu ni uzuzu mwingine unaouonesha hapa. Lowassa kwa sasa kumjadili ni kupoteza muda hana impacts yani hana serikali.unamjadili wa nini?
 
Back
Top Bottom