poor communismutafikiri kazi ya rais ni kufanya mambo mabaya, anatakiwa kuweka maslahi ya walio wengi mbele wakati wote na ndio wajibu wake. only in communist countries utaona mambo ya mshikamano na kiongozi mkuu anapofanya jambo la "maana". ccm ina mizizi kwenye ujamaa na ukomunisti, no wonder they are still stuck with archaic ways of praising dear leader/fikira za mwenyekiti type of nonsense
Ahh mambo mengine mkuu tunaangalia tu kwa macho.Halafu maandamano si yalipigwa stop au kwa kuwa ni kumsifia mkuu itakuwa ruksa
Tanzania ya viwander
Sioni kibao kilichogeuka hapa zaidi ya watanzania wengi hapo mbele wataujua uwongo wa Magufuli waziwazi mchana kweupe.Chadema issue ya Acacia na makanikia inawauma sana. Wakati Lissu akitishia serikali kushtakiwa mlikuwa kifua mbele mkijua mngeitumia nafasi hiyo kujijenga kisiasa na kuonesha Magufuli, serikali yake na ccm hawafai....kibao kimegeuka bila kutarajia na nyinyi sasa ndiyo mnaoumia na kuhangaika. Isitoshe Lowassa pia kamsifu Magufuli kuwa ametekeleza kile alichoahidi wakati wa kampeni zake pale Geita. Mshaurini Lissu apunguze uropokaji na autawale mdomo wake
FEW TANZANIANS ARE LIVING, MOST EM ARE EXISTINGNchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.
Nchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.
WEWE NDO KASOME KATIBA RAIS WA TANZANIA ANAWEZA KUSHTAKIWA BAADA AU KABLA YA KUASTAAFU UONGOZI? UNAKURUPUKA KUFOKA WAKATI HUJUI LOLOTE KAA KIMYA WEWENchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.
Chadema issue ya Acacia na makanikia inawauma sana. Wakati Lissu akitishia serikali kushtakiwa mlikuwa kifua mbele mkijua mngeitumia nafasi hiyo kujijenga kisiasa na kuonesha Magufuli, serikali yake na ccm hawafai....kibao kimegeuka bila kutarajia na nyinyi sasa ndiyo mnaoumia na kuhangaika. Isitoshe Lowassa pia kamsifu Magufuli kuwa ametekeleza kile alichoahidi wakati wa kampeni zake pale Geita. Mshaurini Lissu apunguze uropokaji na autawale mdomo wake
Chenge hajapiga hodi huko kwenu mkuu? au yeye hataki kusafishwa na mtambo wa kusafisha MAFISADI nchini.Ndio uzuzu wenyewe huu naouzungumzia. Maandamano ya nini? Kama kweli yeye mzalendo awakamate wote waliohusika awatupe ndani kwanza.
Mkuu acha watanzania wafurahi, Wote tunajua ni nadra sana kumpata kiongozi aina ya MAGUFULI. Tulowategemea kuwa wapo serious ndo hao waloenda kubeba vinyesi vya CCM.utafikiri kazi ya rais ni kufanya mambo mabaya, anatakiwa kuweka maslahi ya walio wengi mbele wakati wote na ndio wajibu wake. only in communist countries utaona mambo ya mshikamano na kiongozi mkuu anapofanya jambo la "maana". ccm ina mizizi kwenye ujamaa na ukomunisti, no wonder they are still stuck with archaic ways of praising dear leader/fikira za mwenyekiti type of nonsense
Nchi hii bado wajinga ni wengi. Kama Rais anaagiza mkapa na kikwete wasisumbuliwe halafu hapo hapo anaagiza wote waliohusika na biashara ya hasara ya madini wachukuliwe hatua .na majitu yanashangilia kama mazuzu .unadhani kuna watu tena hapo.?
Tusubiri kudra za Mwenyezi Mungu tu kuikoa hii nchi kutoka kwenye mikono ya CCM.