Only in Tanzania: Amshukuru Rais kwa kupona kwenye Ajali ya Basi

Ugumu wa maisha unawachanganya sana vijana, kamsahau hadi Mungu wake....
 
Katika kile ambacho tunaweza kukiita Addiction ya Magufuli, manusra mmoja wa ajali ya basi la Majinja iliyotokea leo ameishukuru Serikali ya awamu ya tano ya Rais Magufuli na jeshi la Polisi kwa kupona kwenye ajali.

Nadhani tunahitaji elimu ya kutenganisha utendaji wa Serikali na mambo mengine. Itafika kipindi hata ukimtia mimba mkeo unaishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli

Halafu ana lafudhi kama ya ndugu zake zumbemkuu na Chakaza

View attachment 1255024
Yes Lakini hapo walikuwa wakisifu hatua wanazochukua trafiki Wilaya ya Kilolo kwamba bila hilo wangeweza kupita Kilolo bila kukaguliwa lakini kwa uongozi makini wa Mh Rais viongozi wake hadi ngazi ya chini wanawajibika na ndio maana wamekuwa wakifuatilia sheria za barabarani ipasavyo. Hiyo ndiyo sababu akamshukuru Mh Rais Magufuli.
 
Katika kile ambacho tunaweza kukiita Addiction ya Magufuli, manusra mmoja wa ajali ya basi la Majinja iliyotokea leo ameishukuru Serikali ya awamu ya tano ya Rais Magufuli na jeshi la Polisi kwa kupona kwenye ajali.

Nadhani tunahitaji elimu ya kutenganisha utendaji wa Serikali na mambo mengine. Itafika kipindi hata ukimtia mimba mkeo unaishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli

Halafu ana lafudhi kama ya ndugu zake zumbemkuu na Chakaza

View attachment 1255024
 
Yeye anaipongeza kuna wengine wanaiponda serikali kwa matatizo ambayo hayan uhusiano na serikali. Unaweza kukuta mtu analaumu Serikali ikiwa mkewe hapati mimba ivo ivo.
 
Hii ni hali ya hatari sana ikiwa bongo za watu chini ya utawala wa kigandamizi, kiasi tayari hata fikra zao zimekubali mgandamizo wa kiakili kiasi hiki.
 
Yeye anaipongeza kuna wengine wanaiponda serikali kwa matatizo ambayo hayan uhusiano na serikali. Unaweza kukuta mtu analaumu Serikali ikiwa mkewe hapati mimba ivo ivo.
Nyie tupelekeni tu mnaanzaga hivihivi mwisho wa siku mtatwambia huyu nae ni mtakatifu wa watakatifu tena anamshinda mtakatifu yuleee!!!
Maana mmoja alisema "Inabidi Sir God amshukuru naniii".
Huyu nae anashukuru naniii kwa "kumponywa kwenye ajali".
Sisi tunaojua kuunganisha mambo tunaona huyu hana tofauti na yule bibie mfalme wa Mwanza zumaridi,wote wanataka watukuzwe tofauti iliyopo ni kuwa mmoja anazuia mwenzie asiabudiwe anataka abaki peke yake.Wivu kama Mungu kweli!!!
Maana Mungu wa kweli ana wivu sana hapendi kuabudiwa mwingine ila yeye peke yake.
 
Back
Top Bottom