joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Fly540 plane in Kenya forced to abort take-off after tyre stuck in pothole
Engineers dig out plane's tyre from pothole at Manda Airport in Lamu.
www.theeastafrican.co.ke
Kumbe hakujua kwamba, hata katika viwanja vya ndege vya Kenya pia kumejaa mashimo katika njia za kuruka na kutua ndege. Ndege ya Fly 540 almanustra kupata ajali katika kimoja wapo ya viwanja vya ndege huko Kenya, baada ya gurudumu lake moja kutumbukia katika shimo linalokisiwa kuwa na kina cha 30cm, na kusababisha taharudi kwa abiria 36 waliokuwemo ndani ya ndege hiyo.