Online Puppets: Kumbe Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!

Mkuu.....Pasco ametoa angalizo tusijadili suti wala muungano....tujadili tu kama tunawaamini wamerekani kuliko tunavyojiamini wenyewe
Mtanzania1, Pasco ametoa angalizo ambalo yeye mwenyewe ameshindwa kulifuata. Vile vile hatutakiwi kukubali kila jambo asemalo au kukataza Pasco hata kama halina mantiki bila ya sisi wenyewe kujifikirisha. Kama tukiunga mkono kila jambo kwa kuwa tu limesemwa na Pasco, basi tutakuwa 'puppet' wa Pasco. Mimi sipo tayari kuwa 'puppet' wa Pasco kwa kukataa kuzungumza kile nachoamini ni sahihi.
 
Pasco,
Ulikuwa umeanza kunikonga mpaka pale uliposema Kikwete kununuliwa suti ni uwongo. Mbona hilo mimi nimelifahamu siku nyingi kabla hata ya Wikileaks kulitaja? Top management wote pale Kempiski wanalijua hilo na wala si siri.
Mkuu Jasusi, wewe unawaamini Wamarekani zaidi kuliko unavyoiamini Ikulu ya nchi yako?!.

Uzalendo wako uko wapi?!. Hivi kweli unaamini rais wetu JK ni that cheap ahongwe suti?!. Hivi waarabu huwajui wewe?!.

Uzalendo wa kweli unaanzia nyumbani. Baba yako anadaiwa na kumwambia mama fulani akija, mwambie sipo!.

Mara huyo fulani kabisha hodi na umemfungulia mlango wewe na ile kufungua tuu akaanza na swali "Baba yako yupo?.

Wewe ungejibuje?.

Mtoto mzalendo wa ukweli asinge jibu chochote zaidi ya kumwambia mgeni karibu ndani mama yupo!.

Na wakati mama anamweleza mgeni kuwa baba hayupo, wewe utaingilia kati kueleza ukweli kuwa " uncle mgeni, mama anakudanganya, mimi nimemsikia mwenyewe baba alimweleza mama wewe ikija mama aseme yeye hayupo ila kiukweli yupo chumbani ngoja mimi nikuitie!. Halafu unaanza kuita kwa sauti kubwa, "Babaa babaa yule mgeni uliomwambia mama akija aseme haupo amekuja!".

Uzalendo ni kutanguliza utaifa mbele ukiwemo heshima na nidhamu kwa viongozi wako. Kama Marekani wamedai rais wako kahongwa suti, Ikulu yako ikakanusha na kusema ni uongo bila hata kuitaka Marekani iwaombe radhi kumchafua rais wao, then mtoto mwenye busara atajua kinachoendelea na uzalendo sio kukubali rais wetu alihongwa suti, bali kuungana na msimamo wa Ikulu yetu, kuwa rais wetu amesingiziwa!.
 
Mkuu Jasusi, wewe unawaamini Wamarekani zaidi kuliko unavyoiamini Ikulu ya nchi yako?!.

Uzalendo wako uko wapi?!. Hivi kweli unaamini rais wetu JK ni that cheap ahongwe suti?!. Hivi waarabu huwajui wewe?!.

Uzalendo wa kweli unaanzia nyumbani. Baba yako anadaiwa na kumwambia mama fulani akija, mwambie sipo!.

Mara huyo fulani kabisha hodi na umemfungulia mlango wewe na ile kufungua tuu akaanza na swali "Baba yako yupo?.

Wewe ungejibuje?.

Mtoto mzalendo wa ukweli asinge jibu chochote zaidi ya kumwambia mgeni karibu ndani mama yupo!.

Na wakati mama anamweleza mgeni kuwa baba hayupo, wewe utaingilia kati kueleza ukweli kuwa " uncle mgeni, mama anakudanganya, mimi nimemsikia mwenyewe baba alimweleza mama wewe ikija mama aseme yeye hayupo ila kiukweli yupo chumbani ngoja mimi nikuitie!. Halafu unaanza kuita kwa sauti kubwa, "Babaa babaa yule mgeni uliomwambia mama akija aseme haupo amekuja!".

Uzalendo ni kutanguliza utaifa mbele ukiwemo heshima na nidhamu kwa viongozi wako. Kama Marekani wamedai rais wako kahongwa suti, Ikulu yako ikakanusha na kusema ni uongo bila hata kuitaka Marekani iwaombe radhi kumchafua rais wao, then mtoto mwenye busara atajua kinachoendelea na uzalendo sio kukubali rais wetu alihongwa suti, bali kuungana na msimamo wa Ikulu yetu, kuwa rais wetu amesingiziwa!.
Pasco,
Rais wetu anapaswa kujiheshimu. Mimi nimesema kuwa habari hizo nilizifahamu hata kabla ya Wamarekani kuzimwaga kwenye Wikileaks. Siwezi kuheshimu kiongozi asiyejiheshimu. Naipenda nchi yangu lakini uongozi wa sasa "leaves a lot to be desired," kama wanavyosema wenyewe Wamombo.
 
Mkuu Jasusi, wewe unawaamini Wamarekani zaidi kuliko unavyoiamini Ikulu ya nchi yako?!.

Uzalendo wako uko wapi?!. Hivi kweli unaamini rais wetu JK ni that cheap ahongwe suti?!. Hivi waarabu huwajui wewe?!.
Pasco na wewe! Hivi uzalendo ni kumwamini mwizi hata kama unajua kuwa ni mwizi? Tufike mahali tumwambie ukweli mfalme, kama yule mtoto, kuwa yu uchi. Anyway, najua umeamua kuwananga kwa uandishi wa kifasihi zaidi.
 
Mtanzania1, Pasco ametoa angalizo ambalo yeye mwenyewe ameshindwa kulifuata. Vile vile hatutakiwi kukubali kila jambo asemalo au kukataza Pasco hata kama halina mantiki bila ya sisi wenyewe kujifikirisha. Kama tukiunga mkono kila jambo kwa kuwa tu limesemwa na Pasco, basi tutakuwa 'puppet' wa Pasco. Mimi sipo tayari kuwa 'puppet' wa Pasco kwa kukataa kuzungumza kile nachoamini ni sahihi.
Mimi naona Pasco mwenyewe ni puppet wa Ikulu...
 
Mleta maada nadhani uko karibu Na kujichanganya, nimesoma post hizi Na kila Mtu anazungukia anakojua yeye..

Kwanza pasco amelalama kwamba tusimtaje(kumnanga) Mtu kwenye Hoja ya uhalali wa kisheria Wa ZANZIBAR kuuafiki muungano.. Na katika Hoja yake akawa keshamtaja Mtu, kosa nambari moja, kosa la pili linalofanana Na kutomtaja Mtu yeye keshawataja wamarekani, Na hatuwezi kuongelea Taifa zima, lazima tumguse Mtu mmoja mmoja Kwa niaba..

Kosa la tatu kubwa zaidi ni kutaja waziwazi kuwabagua wamarekani wakati huo huo anaienzi lugha Yao .. Huko nadhani ni kujichanganya zaidi..
Na kikubwa zaidi, kichwa cha Habari hisika Na nyama ya hanari yenyewe ni vitu viwili tofauti kichwa cha habari unalalamika kwamba kuna watu ambao ni VIBARAKA Wa Wamarekani, Na ndani umejenga Hoja ya ZANZIBAR kutoukubali muungano kisheria..(Na nakushauri siku nyingine tumia neno kibaraka badala ya Hilo la kizungu ambalo mimi hata kuliandika sitaki)ila sikulaumu sana wanasheria wetu ndivyo mlivyo, mnaamini sana kwamba kishwahili hakina jazilizo kwenye lugha za kigeni, ni kujichukia kulikopitiliza...

Sio nia yangu kuaonisha makosa ya mtoa maada ila Kwa mantiki hiyo kuchangia Hoja Kama hii Ambayo imeshajichanganya ni kujichanganya zaidi..

Labda nitoe ushauri na sio kuchangia maada kwenye mambo matatu hivi..

Mosi vinara wa Kuasisi Muungano, wazee wetu hawa sasa wote wameshatangulia mbele ya HAKI .. Kwa telnolojia ilivyokuwa wakati ule kuna baadhi ya mambo yalifanyika kwenye maandishi Na mengine Kwa niaba.. Na kuendekeza mzozo huu ni ni kutowatendea haki waliotutangulia.. Na kwa vile waliokuwepo ambao ni mashahidi wakuu Wa muungano Leo hatunao, lolote laweza kufanyika Leo Na ukaambiwa alisaini muasisi na huna pa kubishia. Mimi sikuwezo wakati wanaunganisha manchi Yao au Kwa gundi AMA karatasi sio Hoja yangu Na Kama itagundulika kwamba hakuna karatasi la kisheria kutoka upande mmoja Wa Muungano lililosainiwa kisheria kuuafiki muungano, Na ikiwepo Haja kwamba mkaratasi huo ni Muhimu, Basi karatasi husika linaweza kuundwa Na kupachikwa sehemu husika Na mdau ukakosa Hoja ..

Pili ifahamike wazi kwamba hata Kama muungano ulifanyika kisheria Na kukidhi mahitaji yote unayoyataka pasco Na wengineo, LAKINI ikiwapo Haja toka upande mmoja Wa muungano kutaka tena kuketi kujadili makubaliano Yao hakuna mwenye mabavu ya kupinga..ni Kama vile ndoa, Kama jianaume halieleweki kwanini kuendelea kukaa Kwa kuvutana, mnaweka meza, mnajadili tofauti Na Kama hazita kidhi jazilizo la hitaji la mlalamika, mnafanya maamuzi mepesi pasipo ugomvi wala chokochoko..

Na tatu, mgogoro wa muungano umegubikwa Na wimbi la sintofaham.. Mengi yanaelezwa Kama sababu za kutoutaka muungano Lakini hayakidhi mguso wa msingi anaoutaka mlaji(mwananchi). Na watoa Hoja wengi hawajasafiri masafa ya kuongelea matatizo ya muungano yenye mguso wa msingi kiasi kwamba raia wote tutaelewa.. Kusema tu kwamba ZANZIBAR kisheria haijaandika popote kuafiki muungano bado haijajibu Hoja ya msingi wa Tatizo.. Je! Leo ikiandikwa Ibara Na ZMZ ikasaini makubaliano ya kuhalalisha muungano, itakuwa imeshakidhi matakwa ya mlalamika?

Mimi nadhani tuchukue wajibu mwepesi Wa kuangalia kiini cha Tatizo la ndoa hii Na kijadiliwe na si hulka nani alikuwepo nani hakuwepo, kipi kilikamilika Na kipi hakikukamilika..

Alamsik!
 
Mkuu the democrat, haya ndio makosa tuliyoyafanya ku 'assume' Serikali ya Tanzania, ndiyo hiyo hiyo ya JMT, na ndio maan a tuliyaongeza mambo ya muungano kutoka yale 11 ya awali mpaka 26 bila kuiconsult SMZ ua BLW kuridhia kwa pretex, mle bungezi, Zanzibar inawakilishwa!.

Kwa vile hizi zilikuwa nchi mbili tofauti, kabla muungano haijapata legal basis ulipaswa uridhiwe, sisi Tanganyika tuliridhia, Abrahman Babu ndio alikuwa waziri wa foreign akasema mbona hajui lolote kuhusu huu Muungano?, na mbona BLM halikuarifiwa rasmi kimaandishi ili kuridhia kwa maandishi?. Karume alimjibu Babu kwa kauli "wajumbe wote wameridhia"

out of topic, hivi mnajua wakati wa Nyerere, ukiboronga, inatangazwa na RTD kuwa rais amepokea barua ya fulani kujiuzulu wadhifa wake na rais amekubali kujiuzulu kwake, kiukweli baadhi ya wahusika hawakuziandika barua hizo!.

Sasa kama Karume, amesema wote wamekubali, kwa maneno tuu, kuna yoyote wa kupinga?!. Karume alisema kwa maneno tuu na hakuna kumbukumbu zozote za maandishi kuthibitisha BLM lilifanya ratification hivyo kisheria, hiyo bado sio ratification!.

Una uhakika na huo msemo wako? can give us proof or valid exmple???????
 
Leroy, nikiweka link tutaishia kutajana tajana majina, maadam nimeweka dhana, na mifano, inatosha kuelezea dhana ya puppets!.
Mkuu Pasco, huutendei haki mjadala huu kwa kuweka miongozo yako, waache wanajamii wajadili kwa marefu na mapana yake ili mradi hakuna sheria ya nchi inayovunjwa!
 
Pasco maelezo yako ni marefu mno ila 48 years after The Union ni ajabu sana leo bado tunarudi nyuma kuchunguza Muungano uliletwa vipi. I thought miaka 48 hii ingekuwa ni mjadala wa jinsi ya kuboresha Muungano na si vinginevyo. Jamani kama Muungano umekuwa mzigo hasa kwa ndugu zetu wa Zanzibar mnaweza leo kuuvunja lakini I promise maneno ya Nyerere yatatimilka hamtamaliza hata mwaka Unguja na Pemba mtatimuana tu. Chochonde tuboreshe Muungano wetu jamani hizi chokochoko za kuua Muungano za nini? Nilikuwa Engaland for some yeras and whenever you meet Zanzibaris issue ni hiyo tu why? Sometimes 2008 JK alikuja pale London watanzania tukaenda kuongea nae. Unfortunately, nilichelewa kidogo na rafiki zangu wengine wa bara kuingia kwenye hiyo meeting hall tukakuta kwenye hall wamejaa ndugu zetu za Zanzibar na wamekaa mbele and the talk was always swaying towards kuukataa Muungano tu. Muda wa kuongea masuala muhimu ya Kitaifa ulikuwa mdogo sana. Ndugu zanguni haswa wa upande wa Zanzibar lets be realistic toeni sababu very concrete za kuvunja Muungano siyo kuchochewa na hao wenzetu wenye damu ya Kiarabu jamani. Tulinde Muungano tumekuwa ndugu kwa miaka 48 na nyie mimi naona kama mnafaidi sana huo Muungano kuliko mimi ninaelima zabibu huku Bihawana kijijini!
 
Wanabodi,

Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!. Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.


Ooh boy!!!




Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!. Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.


Ooh boy!

Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!
.


ooh boy!!

Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

hiki ulichosema hakina msingi wa ukweli; hadi hivi sasa hujasema nani alitakiwa kuridhia? ushahidi wa historia (siyo walivyosema Wamarekani, hata nyaraka zetu zinaonesha hivyo) Muungano uliridhiwa Zanzibar na chombo halali. Hakukuwa na chombo kingine cha juu yake kuridhia?


Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!. Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!.


Huu tena ni upotashaji wa historia; msingi wa Muungano siyo "kauli" za Karume na Nyerere. Mazungumzo ya suala la kuunganisha Tanganyika na Zanzibar yalianza kabla ya Karume kuwa Rais na ukifuatilia historia utaona yalianza kwa mahusiano ya ASP na TANU miaka 1950s. Msingi wa Muungano siyo "kauli" ni mahusiano ya karibu kati ya Bara na Zanzibar; mahusiano ambayo yalifanya mazungumzo ya baadaye ya Muungano (siyo kauli za juu juu tu) kuweza yafanyike.

Unaposema 'ni kauli' unaamini porojo za mitaani kwamba Karume alizungumza na Nyerere TU bila kuhusisha watu wengine halafu hao wawili wakaamua kuunganisha nchi zetu. Bunge la Tanganyika lilijadili na Baraza la Mapinduzi likajadili na vyombo vyote viwili vikaridhia (ratified) kuunagnisha Muungano.

Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy).

Umekuwa ukirudia hili la 'sheria za Kimataifa' naomba ututajie ni sheria gani ya kimataifa ambayo inaweza kutumika (kua applied) kwenye suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili angalau tujue unazungumzia nini isije kuwa ni'sheria za kimataifa' ambazo ziko hewani tu. Ni sheria ipi hasa ya kimataifa inayosisitiza kuwa makubaliano ya Muunagno yapaswa kuwa ratified?
Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

Labda huelewi kabisa au hutaki kuelewa maana ya BLM; Baraza La Mapinduzi linaongozwa kimapinduzi siyo kidemokrasia. Kwamba baraza la Mapinduzi limeridhia ni rahisi kwenu waandishi kumuuliza Shein - ambaye ni Mwenyekiti wa BLM - kusema kama BLM haikuridhia. Hadi hivi sasa hakuna mtu hata mmoja ambaye ameweza kuonesha kuwa BLM halikuridhia na ukweli wa uwepo wa Muungano na BLM una presume kuridhiwa huko.


Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!. Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

Ukoloni wa kifikra ni kuamini kuwa serikali yako ikisema basi hutakiwi kuhoji; unatakiwa kukubali tu kwa vile kwa kufanya hivyo unaonesha uzalendo. Lakini ni utumwa mbaya wa kifikra kwamba kwa vile Wamarekani wamesema basi haipaswi kuaminiwa! Bahati nzuri, suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni suala ambalo limeandikwa sana na kuchunguzwa na watu wengi kweli - nje ya Wamarekani. Ukichukua muda kusoma badala ya kurusha maneno ya kihisia (emotional arguments) unaweza kuona kuwa hakuna utata kwamba baraza la mapinduzi liliitwa na kuambiwa kuhusu mazungumzo ya Muungano na walitoa ridhaa yake.
Jee wewe mwana jf mwenzangu, unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

Hapa umeshindwa hata kuulinganisha. Ulitakiwa uulize kama watu wanaamini "Wamarekani na kila wasemacho" au wanaamini "serikali yetu na kila isemacho". Ukweli hautegemei nani ameusema. Wewe unapresume kuwa kwa vile wamesema Wamarekani basi ni uongo wakati ukisikia serikali imesema unajisikia unaamini kuwa ni kweli. Ukweli haupatikani hivyo; ukweli unaenda juu ya kujisikia.

"Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

Hapana haisemwi hivyo inasemwa "And you shall know the truth, and the truth shall set you free" John 8:32 yaani "nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru". Jitahidi kuufahamu ukweli siyo tu kuendelea kuutafuta!


Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

Natanguliza shukrani.

Pasco.

Bahati mbaya sana umeanza na maneno ya kujadili watu badala yahoja zao; umeshindwa kujenga hoja zaidi ya kulaumu wengine kuwa ni 'puppets' wa Kimarekani kwa sababu hawafikiri kama unavyofikiri wewe; hiv8i wewe ukiitwa ni puppet wa watawala walioshindwa utakataa? au Kikaragosi wa mafisadi? Mtu akuite hivyo kwa sababu ameshindwa kukuelewa misimamo yako au anapingana na wewe? Kwanini isiwe tu kwamba tunatofautiana kimtazamo bila kumfikiria mwingine analipwa na nani, anajipendekeza wapi na kwanini au anatafuta ujiko upi?

Ukitaka kujadili hoja jadili hoja, ukianza kuita watu majina maana yake ni kuwa hoja zako tayari zimeshindwa na sasa unaleta vioja! Jibu hoja kwa hoja siyo vioja!
 
Pasco yuko wapi au anatafuta makaratasi? Yule 'mlengwa' wa thread ndiyo hivyo keshaamka sasa nilitegemea nisome docs toka kwa Pasco zikituonesha sintofamu ya BLM.
 
Mkuu Jasusi, wewe unawaamini Wamarekani zaidi kuliko unavyoiamini Ikulu ya nchi yako?!.

Uzalendo wako uko wapi?!. Hivi kweli unaamini rais wetu JK ni that cheap ahongwe suti?!. Hivi waarabu huwajui wewe?!.

Uzalendo wa kweli unaanzia nyumbani. Baba yako anadaiwa na kumwambia mama fulani akija, mwambie sipo!.

Mara huyo fulani kabisha hodi na umemfungulia mlango wewe na ile kufungua tuu akaanza na swali "Baba yako yupo?.

Wewe ungejibuje?.

Mtoto mzalendo wa ukweli asinge jibu chochote zaidi ya kumwambia mgeni karibu ndani mama yupo!.

Na wakati mama anamweleza mgeni kuwa baba hayupo, wewe utaingilia kati kueleza ukweli kuwa " uncle mgeni, mama anakudanganya, mimi nimemsikia mwenyewe baba alimweleza mama wewe ikija mama aseme yeye hayupo ila kiukweli yupo chumbani ngoja mimi nikuitie!. Halafu unaanza kuita kwa sauti kubwa, "Babaa babaa yule mgeni uliomwambia mama akija aseme haupo amekuja!".

Uzalendo ni kutanguliza utaifa mbele ukiwemo heshima na nidhamu kwa viongozi wako. Kama Marekani wamedai rais wako kahongwa suti, Ikulu yako ikakanusha na kusema ni uongo bila hata kuitaka Marekani iwaombe radhi kumchafua rais wao, then mtoto mwenye busara atajua kinachoendelea na uzalendo sio kukubali rais wetu alihongwa suti, bali kuungana na msimamo wa Ikulu yetu, kuwa rais wetu amesingiziwa!.

Hii ni ile dhana ya mkubwa hakombi mboga,hivi hata Kama baba amekosea sisi watoto tumpigie makofi?.Hata yeye(baba) akiona amefanya makosa na sie tukayafurahia atatuona sisi watoto kuwa ni mapopompo kweli(atatudharau)Siungi mkono hoja yako.
 
Wanabodi,

Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!. Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.

Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!. Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.

Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!. Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!. Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!. Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

Jee wewe mwana jf mwenzangu, unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

"Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

"Emancipate Yourself From Mental Slavery"-Bob Marley!.

Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

Natanguliza shukrani.

Pasco.
Mkuu wangu Pasco, hakuna muungano wowote ulokuwa ratified sehemu mbili tofauti na kwa nyakati mbili tofauti. Uwanja hua ni mmoja mahala ambao document moja inapitishwa na executive board iliyochaguliwa na kuifanya treaty hivyo Bunge linawajibika na implementation of such treaty haifanyiki sehemu mbili.

Nini umuhimu wa ratification?.. ni kwamba ina describe mamlaka ya kila sehemu over various compliance mechanisms, iwe power over international affairs au mahusiano baina ya serikali mbili iwe ya Zanzibar au ya Jamhuri with respect to to the artical of Union. Hivi vyote vilifanyika na ndio maana unavikuta ktk KATIBA ya Jamhuri vimeorodheshwa kinagaubaga nini maswala ya muungano ya yapi yasokuwa ya muungano. Labda nikuulize hivi, trieties tuloingia Na marekani au Bush unazijua weye?.. Kigamboni imeuzwa ulisikia wakituomba? Kule Mbeya sijui tanga wanajenga kambi uliombwa au unayajua haya?..Sisi kuingia ktk jumuiya ya kupiga vita Ugaidi uliulizwa au ilisainiwa wapi unajua?

Hata huku Canada au USA ratification inafanywa na kamati maalum ilochaguliwa kwa kazi hiyo na haihitaji ridhaa ya Bunge, mahakama wala wananchi kuhusishwa na wala haifanyiki sehemu mbili tofauti - Hakuna kitu hicho. Canada imeingia vita ya Afghanstan pasipo kukubaliwa wala kupitishwa na Bunge, tumejiunga na NATO bila Bunge kupitisha lakini vyombo vyote vya serikali na watu wake tunawajibika kufuata. Mwanajeshi akigoma kwenda vitani anakula kifungo jela kwa kutotii amri japokuwa hakupenda na hakuona uhalali wa kufanya hivyo.
 
Hata huku Canada au USA ratification inafanywa na kamati maalum ilochaguliwa maalum kwa kazi hiyo na haihitaji ridhaa ya Bunge, mahakama wala wananchi kuhusishwa na wala haifanyiki sehemu mbili tofauti - Hakuna kitu hicho. Canada imeingia vita ya Afghanstan pasipo kukubaliwa wala kupitishwa na Bunge, tumejiunga na NATO bila Bunge kupitisha lakini vyombo vyote vya serikali na watu wake tunawajibika kufuata. Mwanajeshi akigoma kwenda vitani anakula kifungo jela kwa kutotii amri japokuwa hakupenda na hakuona uhalali wa kufanya hivyo.

Mkandara, Pasco anachezea maneno tu. Ameng'ang'ania "ratification" lakini hasemi mwaka 1964 nani alitakiwa kuratify? hajibu anasema "lazima iwe ratified kwa maandizi"! Akiulizwa mbona BLM liliridhia na ikatangazwa hivyo na wanahistoria karibu wote wanakubaliana kuwa ilitokea? anasema hapana "ni kauli ya Karume na Nyerere ndio msingi wa Muungano". TUkimbana hapo anasema "sheria za kimataifa!"; tukimuuliza ni sheria zipi za kimataifa zilizovunjwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hajibu anakuja na kusema "online puppets"!

Mtabakia mnacheza naye maneno kama mchezo wa ule wa watoto wa kike wanaorusha jiwe juu halafu wanasogeza mawe chini!
 
Siwezi kuepuka kutaja majina kwa sababu mimi ni moja wa watu ambao Pasco anataka jamii ya JF iamini kuwa ni "puppet" siyo tu wa Wamarekani bali hata wa Mwanakijiji. Akijibu hoja yangu Pasco anasema hivi;
Mkuu Mag3, Pasco is yes indeed, blood hell, opportunist anaetumika kwa malengo anayoyajua yeye!, kaeni sana chonjo na mimi!.

Nimefungua uzi maalum wa "puppets", angalia usije kuwa uu mmoja wao!.

Humu jf tuna tatizo sana na ukweli!, na kuna watu humu wanaabudu watu bila kujijua, akisema fulani, basi wao ndio wanaamini, akisema fulani, anaulizwa "who the hell is blood fulani?" Endeleeni kuwaabudia hao mnao waabudia, nasisitiza "hakuna ratification yoyote iliyofanyika kwa muungano kule Zanzibar!, endeleeni kuwaaminia Wamarekani, sisi wengine imeelezwa kuwa ni ubunifu wetu tuu!.
Kilicholeta utata wote huu hadi sisi wengine tukaitwa "puppets" ni document ya CIA iliyowekwa na Mwanakijiji ikionesha kuwa mamlaka za nchi mbili Tanganyika na Zanzibar ziliidhinisha Muungano. Pasco anatoa somo;
Pasco said:
Nyerere " Sisi ni ndugu, kwa nini tusiungane?".
Karume " Tuungane, wewe rais. mimi makamo".

Shughuli ilianza na kumalizika in a split of a second!.

Kwa vile hizi ni nchi mbili tofauti zenye uhuru wake na zote ni Jamuhuri huru, kauli pekee haitoshi kuziunganisha, lazima kufuata taratibu, sheria na kanuni ili kuhalalisha nia na kauli hizo, ndipo zikaandaliwa hizo articles of union!.

Articles zile japo zilikosa sifa ya kisheria ya kuutwa mkataba "contract" kutokana na tatizo la kisheria liitwalo "privity of contract", articles zile zilikuwa na sifa zote za kuitwa ' international treaty" kuunganisha nchi mbili, na ili any international treaty kupata uhalali na nguvu ya kisheria, ni lazima treaty hiyo iwe ratified na mabunge ya nchi husika!.

Ratification is a process ambayo hufanywa kwa procedures maalum na kufanywa in writing!.

Bunge la Tanzania lilifuata sheria, taratibu na kanuni zote ku ratify zile articles of union kwa maandishi!.
Rubbish, rubbish, rubbish...! Wana jamvi, hayo ndiyo madai ya Pasco...na pamoja na sheria za kimataifa kutozingatiwa, Jamhuri ya Tanzania ikazaliwa na kila kitu kikawa shwari hadi wakina Pasco walipojitokeza miaka 40 baadaye! Sitaki kurudia yaliyokwishasemwa ila natoa tu angalizo nalo ni, kuuponda huu Muungano ni kuliponda BLM la mwaka 1964 na kuliponda BLW ni kuyaponda Mapinduzi yenyewe yaliyouondoa utawala wa kisultani visiwani. Kama Muungano haukuwa halali basi mapinduzi yenyewe hayakuwa halali dai kubwa la baadhi ya Wazanzibari wanaoupinga Muungano.

Tofauti na wengine, tuko tulioishi wakati huo tukashuhudia bila kusimuliwa na tunajua nguvu walizokuwa nazo wajumbe wa Baraza la Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wake wa kwanza Field Marshall John Okelo ingawa hiyo ni hadithi nyingine kabisa. Baraza la Mapinduzi la Zanzibar ndilo lilikuwa chombo cha juu kabisa na maamuzi yake, baada ya mapinduzi, ndio yalikuwa kama katiba ya Zanzibar. Bila Baraza hili kuridhia Muungano, hakuna namna yoyote Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar ingezaliwa, ikatambulika kimataifa na ikadumu kwa miaka yote hii.

Kwa bahati mbaya sana simulizi za mitaani na kwenye mihadhara zimewapofusha wengi hadi wakashindwa hata kutazama mambo kwa uasilia wake. Zanzibar kama ni kweli kuwa wengi wao sasa hawaupendi Muungano, hiyo ni haki yao kabisa na maadam wana Baraza la Wawakilishi, wafuate tu taratibu na siyo kutafuta mchawi na kuchoma makanisa. Tatizo la Wazanzibari ni kuwa wamegawanyika sana tu katika malengo yao na huo udhaifu wao unawapa mwanya wajanja miongoni mwao kuwatumia kufanikisha hoja zao za nguvu kwa mgongo wa eti kero za Muungano.
 
Wanabodi,

Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!. Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.

Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!. Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.

Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!. Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!. Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!. Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

Jee wewe mwana jf mwenzangu, unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

"Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

"Emancipate Yourself From Mental Slavery"-Bob Marley!.

Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

Natanguliza shukrani.

Pasco.

Pasco tafuta nakala za Joseph Mihangwa, za kutoka raia mwema..online zipo

kajaribu kuweka kila kitu vitu usivyoweza kupata kwenye historia za nchi hii!!

Muungano wa TZ na Zenj haukuridhiwa na upande wowote ule, ulikuwa pressurised toka nje, na Nyerere wetu tunayempenda sana kaanikwa waziwazi bila kificho alifanya nini, article of union unayoisema iliandikwa bara tu ndani ya wiki hivi au wiki mbili tu!! Karume akapelekewa kusaini....kama buzwagi vile

Muungano haukuwepo, haupo na hautaishi....ni laws of nature zinafanya kazi

mtu yeyote anayezungumzia muungano asome kwanza hizo articles well researched na ndio u-comment kuhusu Muungano....usirogwe kusema wabunge waliridhia, Nyerere akitaka nani alikuwa na uwezo wa kuzuia?? CCM wamekubaliana mangapi ya kudhuru wananchi??


To cut it short, what is the meaning dunia kama kijiji?? kuna vitu havizuiliki mkuu.......

utumwa huu umeanza kwa kuvaa nguo za kizungu, kula kizungu, kuongea kizungu....misamiati mizuri ya kizungu ''ratification'' ...kusoma kizungu.'.....kuku wakizungu, ...matunda ya kizungu...'kuangalia mechi za kizungu.......kila kitu kizungu.......na linapokuja swala la kusoma vya hao wazungu wasiviamini??? common Pasco why fighting with people who are practically ni wazungu, naturally ni waafrika na mentaly ni 'chotara'??

anayesema muungano uliridhiwa zanzibar anaendeleza 'ukafir' na uchafu wa kuudanganya umma kama tulivyodanganywa sana kuhusu muungano!! inatosha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom