Pasco heshima mbele! Kuhusu ratification ! Kila nchi duniani ina utaratibu wake mfano Ni Ireland ambayo maamuzi ya mikataba ya EU Ni lazima yapigiwe kura na wananchi maana ndivyo Katiba Yao inavyoshauri au kulazimu!
Katika international law hakuna sehemu yeyote ijayo lazima nchi moja kufuata utaratibu Fulani Wa ratification unayoizungumzia pasco! Unichukulia definition ya international law na sources zake utagundua Ni practise , customs, regulations etc!
Tukirudi kwa Zanzibar , kumbuka kwamba ilikuwa Ni serikali ya mapinduzi na kwa maana hiyo nafikiri hata katiba ilikuwa suspended na sijui Ni Katiba gani wana
Mapinduzi Kama Karume waliyokuwa wanatumia ! Kwa kuwa wanzibar hawakuwapinga na Kuyapinga mapinduzi hadi wakati huu niandikao, kwa kuwa SMZ imeapa kuyalinda mapinduzi hayo, na kwa kuwa walichokifanya akina Babu na Karume ilikuwa kwa niaba ya watu wote Wa Zanzibar na serikali ile, basi Leo hii hairier kutokea serikali ile ile iliyoapa kuyalinda mapinduzi,watu wale wale walio iweka serikali hiyo madarakani waje waseme tena hadharani kwamba hawautambui muungano!
Tafsiri rahisi Ni kwamba hawaikubali serikali walio iweka madarakani, serikali ile ile iliyo kubali kuungana na tanganyika na serikali ile ile iliyoapa kuyalinda mapinduzi hadi dakika
Katika international law hakuna sehemu yeyote ijayo lazima nchi moja kufuata utaratibu Fulani Wa ratification unayoizungumzia pasco! Unichukulia definition ya international law na sources zake utagundua Ni practise , customs, regulations etc!
Tukirudi kwa Zanzibar , kumbuka kwamba ilikuwa Ni serikali ya mapinduzi na kwa maana hiyo nafikiri hata katiba ilikuwa suspended na sijui Ni Katiba gani wana
Mapinduzi Kama Karume waliyokuwa wanatumia ! Kwa kuwa wanzibar hawakuwapinga na Kuyapinga mapinduzi hadi wakati huu niandikao, kwa kuwa SMZ imeapa kuyalinda mapinduzi hayo, na kwa kuwa walichokifanya akina Babu na Karume ilikuwa kwa niaba ya watu wote Wa Zanzibar na serikali ile, basi Leo hii hairier kutokea serikali ile ile iliyoapa kuyalinda mapinduzi,watu wale wale walio iweka serikali hiyo madarakani waje waseme tena hadharani kwamba hawautambui muungano!
Tafsiri rahisi Ni kwamba hawaikubali serikali walio iweka madarakani, serikali ile ile iliyo kubali kuungana na tanganyika na serikali ile ile iliyoapa kuyalinda mapinduzi hadi dakika