Nielewesheni ama nitoeni ushamba mwenzenu, mashikolo mageni haya jamani, mbaya zaidi siyapendi!
Ni hivi. Naingia google kutafuta kitu, let me be honest, kazi. Mara nakutana na CV za watu, wengine nawafahamu wengine la, mara nakutana na CV yangu ndani!, niliomba kazi online kipindi flani mahala/kampuni flani, mbaya zaidi wala sikufanikiwa kupata kazi yenyewe,Poor me! Haya CV yangu imejianika huku, hata kuitoa siwezi, kero kero, sipendi mimi watu wanisome. All along i thought the site was secured na kwamba my CV should be personnal if not private, now here I am, being exposed to the world! Nifanyeje mimi? I mean is there anyway of removing it? Na nini nifanye in future kitu kama hii isinitokee tena jamani?(as explained above). Is it something to do with the Computers I am using ama ni mimi mshamba wa kutumia Computer (mashikolo mageni haya), kwamba sijui namna ya kujificha/secured/protected? Is it the Company site I submitted my application haiko secured/trusted, ama ni wapi nilikosea? Nisaidieni tafadhali.
Natanguliza shukrani, huku nikisubiri ushauri wenu.
Lizy.
Ni hivi. Naingia google kutafuta kitu, let me be honest, kazi. Mara nakutana na CV za watu, wengine nawafahamu wengine la, mara nakutana na CV yangu ndani!, niliomba kazi online kipindi flani mahala/kampuni flani, mbaya zaidi wala sikufanikiwa kupata kazi yenyewe,Poor me! Haya CV yangu imejianika huku, hata kuitoa siwezi, kero kero, sipendi mimi watu wanisome. All along i thought the site was secured na kwamba my CV should be personnal if not private, now here I am, being exposed to the world! Nifanyeje mimi? I mean is there anyway of removing it? Na nini nifanye in future kitu kama hii isinitokee tena jamani?(as explained above). Is it something to do with the Computers I am using ama ni mimi mshamba wa kutumia Computer (mashikolo mageni haya), kwamba sijui namna ya kujificha/secured/protected? Is it the Company site I submitted my application haiko secured/trusted, ama ni wapi nilikosea? Nisaidieni tafadhali.
Natanguliza shukrani, huku nikisubiri ushauri wenu.
Lizy.