Online jobs! kazi zipi sasa, unajua hata nikiuza simu humu jf pia hiyo ni online job?Habari wanajamvi,
Naomba mwenye kufahamu juu ya hizi online jobs, unafanya kazi na kulipwa online. Je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Kwa maelezo yao wanadai unafanya kwa niaba ya kampuni kwenye social media's is it true?
Unafanya kazi kwa niaba ya kampuni online, you advertise, post or answering questions in social media's on behalf of them, this means they train you how to do it. But you don't meet each other all are done online including payments. Nadhan wew mwenye uelewa mkubwa umenipata sasaInaonekana uelewa wako ni mdogo sana, nna wasiwasi sana watakaokupa kazi!
Kumbe ni virtual assistant, hiyo ipo sasa inategemea na hiyo kampuni na hiyo kazi ulipoipatia.Nmesema kabisa unafanya kazi kwa niaba ya kampuni, Ila makubaliano na malipo yanafanyika online. Wew una deal na social media's
Kama wamekwambia kulipia training kimbia kimya kimya kama upepo, harufu ya upigaji hiyo.Ahaa ok asante, na huwa inatakiwa kutoa training fee?
Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana, nna wasiwasi sana watakaokupa kazi!
kama kuna vitu #uvifahamu Ni bora kukaa kimyaaa sio kumcrash mtu au kukatishana tamaa Online job zipo kuna site kama Upworks kuna freelance kibao zina lipaLabda anafikiri atapewa jembe alime ndani ya computer
kama kuna vitu #uvifahamu Ni bora kukaa kimyaaa sio kumcrash mtu au kukatishana tamaa Online job zipo kuna site kama Upworks kuna freelance kibao zina lipa
msaidie awe na uelewa kama wako!!Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana, nna wasiwasi sana watakaokupa kazi!