Salamu ndugu zangu.
Leo nimeona nianze kutupia Projects zinazoendelea ndani ya jiji la dar es salaam. Nitakuwa natupia tupia picha. Ninaanza na
Kinyerezi Power Plant phase II 240MW. Mradi unatakiwa novemba 2017 kuanza kuzalisha umeme
Project nyingi ni majengo marefu...ujenzi wa barabara na madaraja bado ni hafifu mji umezidiwa na idadi ya watu miundo mbinu ni ya enzi za Mwl...hivi tunashindwa buni njia mbadala kwa kuongeza upana wa barabara zilizopo maana hata kama zitajengwa mpya bado zinajengwa kwa mtindo wa kizamani lane 2 ama 4.Hatufikirii zaidi ya hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.