Ongezeko la wanaofanya mahubiri kwenye mabasi mijini. Nini chanzo?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
20220919_200623.jpg
 
Hilo basi kama hao abiria watatoa sadaka mchungaji atazipiga balaa, nahisi ongezeko la wahubiri kwenye vyombo vya usafiri kuongezeka kunasababishwa na maovu kuongezeka na watu hawaendi nyumba za ibada
 
Hivi na kwenye lile basi walilopanda viongozi wa Afrika wakati wa mazishi ya Her Majesty Queen Elizabeth II hakukuwa na muhubiri kweli?
NB:Mnawekewa wahubiri kwenye mabasi ili muache madhambi na mtoe sadaka.
 
Muweke na nyingine wale wanauza soda karanga, vocha ,zabibu etc kwenye bus

Hivi hapo kuna kiongozi alokua akitaka kukaa dirishani?
 
Back
Top Bottom