Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
Hivi karibuni baada ya taasisi mbali mbali kutakiwa kubuni miradi ya Kujikimu , kumekua na Ongezeko kubwa Sana na Bar katika maeneo ya Jeshi
Mfano ukianzia Hapo Mwenge hadi Lugalo kuna Bar zinazopokea Raia zaidi ya Sita
Hiyo ni mbali ya Ranks , Officer and Brigade Mesa ambazo ni moja ya stahiki za askari kujiliwaza
Hapo nimeangalia sehemu hiyo kama case Lakini karibu Kila kambi imefungua mradi wa Bar
Hili sio jambo zuri hata kidogo Kwani linashusha Hadhi ya jeshi kama ni Bar basi ziishie zile za Suma Lakini sio makambini
Lakini pia Core activity ya jeshi sio kufanya biashara ndio maana hata miradi inayofanywa na Majeshi ni ile inayoendana na uwezo wao wa Teknelojia au Vifaa ambavyo uraiani hakuna Mfano Viwanda , Ujenzi
Napenda kushauri CDF na watendaji wake watizame ongezeko la hii miradi tunatambua haja ya kuwe na miradi ya kusupplement budget za Vikosi Lakini sio lazima kuwe na miradi isiyoendana na majukumu yao
Naamini SUMA wanaweza kubuni miradi mikubwa kabisa ya kimkakati ituondolee na aibu ya hizi biashara za Bar na ikazalisha pesa za kutosha kugharamia mambo madogo madogo hata makubwa pale budget kuu inapochelewa
Mfano ukianzia Hapo Mwenge hadi Lugalo kuna Bar zinazopokea Raia zaidi ya Sita
Hiyo ni mbali ya Ranks , Officer and Brigade Mesa ambazo ni moja ya stahiki za askari kujiliwaza
Hapo nimeangalia sehemu hiyo kama case Lakini karibu Kila kambi imefungua mradi wa Bar
Hili sio jambo zuri hata kidogo Kwani linashusha Hadhi ya jeshi kama ni Bar basi ziishie zile za Suma Lakini sio makambini
Lakini pia Core activity ya jeshi sio kufanya biashara ndio maana hata miradi inayofanywa na Majeshi ni ile inayoendana na uwezo wao wa Teknelojia au Vifaa ambavyo uraiani hakuna Mfano Viwanda , Ujenzi
Napenda kushauri CDF na watendaji wake watizame ongezeko la hii miradi tunatambua haja ya kuwe na miradi ya kusupplement budget za Vikosi Lakini sio lazima kuwe na miradi isiyoendana na majukumu yao
Naamini SUMA wanaweza kubuni miradi mikubwa kabisa ya kimkakati ituondolee na aibu ya hizi biashara za Bar na ikazalisha pesa za kutosha kugharamia mambo madogo madogo hata makubwa pale budget kuu inapochelewa