Ongezeko la Mshahara: Tatizo siyo Rais Magufuli bali wabunge wa CCM wenye roho na mioyo ya " Kwanini"

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,874
Ongezeko la mshahara ni lazima lianzie au likamilishwe na mchakato wa kibunge. Bajeti ya mishahara ni lazima ipitishwe na bunge baada ya kuangalia mahitaji ya wafanyakazi na mwenendo wa Uchumi.

Mara kadhaa huko nyuma ni wabunge wawili tu ambao walikuwa wakipigania haki za wafanyakazi ambao ni JJ Mnyika wa Chadema na Jaffo wa CCM. Lakini katika bunge la sasa simuoni mbunge yoyote wa CCM akishughulika na Wafanyakazi.

Wabunge wa CCM wengi ni wafanyabiashara na wale hohehahe wachache wanaotegemea mshahara ndio wale wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo.

Mbunge anayeondoka na mshahara na marupurupu ya zaidi ya sh 12 milioni kwa mwezi saa ngapi atamkumbuka mtumishi wa kima cha chini ikiwa madereva wao kila siku wanalia kudhulumiwa mishahara yao.

Mishahara itapanda pale tu watanzania watakapotambua namna ya kuchagua wabunge sahihi na si vinginevyo. Mei mosi siyo siku ya kupandisha mishahara bali Wafanyakazi kusherehekea mafanikio yao na kutiana moyo japo wafanyakazi wa Tanzania hutumia sherehe hizi kuwapongeza wanasiasa mfano leo kila kiongozi wa Tucta ilikuwa ni lazima ampongeze Jenister Mhagama.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ndege zilinunuliwa cash bila kuanza au kukamilishwa na mchakato wa kibunge, mishahara ya wafanyakazi kuongezwa ingeweza kufuata utaratibu huo pia na hakuna ambaye angelalamika.

Maendeleo yana vyama!
Bajeti ya mishahara inapitishwa na kuwa sheria usisahau hilo!
 
Viongozi wa TZ wengi wanajali matumbo yao. Ndivyo tulivyo. Nyamhoka alivyokuwa anaunga juhudi sasa!

Nyamhoka; "Mh Rais ulisema utaongeza mishahara kabla haujamaliza kipindi chako. Kama ikiwezekana hiyo siku iwe ni leo, lakini tunakuachia wewe mwenyewe utaona maana ndiyo unajua uchumi wa nchi unavyoenda"

Yaani Nyamhoka alikuwa hajiamini kabisaa kutetea maslahi ya wafanyajazi.
 
Ongezeko la mshahara ni lazima lianzie au likamilishwe na mchakato wa kibunge. Bajeti ya mishahara ni lazima ipitishwe na bunge baada ya kuangalia mahitaji ya wafanyakazi na mwenendo wa Uchumi.

Mara kadhaa huko nyuma ni wabunge wawili tu ambao walikuwa wakipigania haki za wafanyakazi ambao ni JJ Mnyika wa Chadema na Jaffo wa CCM. Lakini katika bunge la sasa simuoni mbunge yoyote wa CCM akishughulika na Wafanyakazi.

Wabunge wa CCM wengi ni wafanyabiashara na wale hohehahe wachache wanaotegemea mshahara ndio wale wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo.

Mbunge anayeondoka na mshahara na marupurupu ya zaidi ya sh 12 milioni kwa mwezi saa ngapi atamkumbuka mtumishi wa kima cha chini ikiwa madereva wao kila siku wanalia kudhulumiwa mishahara yao.

Mishahara itapanda pale tu watanzania watakapotambua namna ya kuchagua wabunge sahihi na si vinginevyo. Mei mosi siyo siku ya kupandisha mishahara bali Wafanyakazi kusherehekea mafanikio yao na kutiana moyo japo wafanyakazi wa Tanzania hutumia sherehe hizi kuwapongeza wanasiasa mfano leo kila kiongozi wa Tucta ilikuwa ni lazima ampongeze Jenister Mhagama.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani unafikiri Watumishi hawamjui adui yao? Adui namba moja wa watumishi ni watumishi wenyewe. Adui namba mbili wa watumishi ni viongozi wasiojitambua wa vyama vya wafanyakazi. Adui No. 3 wa watumishi ni mwajiri ambaye ni serikali kwa watumishi wa Umma na particularly Rais. Adui No.4 ni wawakilishi wa wananchi ambao ni wabunge hususan Wabunge wa CCM. Asiyelisema hili ni mwehu tu na sidhani kama johnthebaptist ni mwehu. Wamo wehu humu subiri kidogo wanakuja na mishale ya sumu jiandae kuchomwa.
 
Wabunge utawaonea bure! Maamuzi ya Bunge yanaamuliwa na asiekua Mbunge! Ndomaana ata Naibu Spika alivohoji maskini akalazimika kutoa maamuzi kinyume maana ata wajibishwa na MTU asiekua Mbunge! Rais kaua uchumi toka 07% mpaka 04% saivi anatembeza Bakuri kila bank kukopa ili afanikishe lakin Deni nalo linazid kupaa hadi anaona aibu! Ata mwaka kesho hana sehemu atakayo pata fedha za kulipa watumishi kwanza kwawatakao panda madaraja mwaka huu apo unaongelea zaidi ya 100B zitatumika achilia mwaka kesho kuna maelfu nao wanatakiwa kupanda..Kwahiyo akisema apandishe ata zidi 10% apo mwakani!
 
Ongezeko la mshahara ni lazima lianzie au likamilishwe na mchakato wa kibunge. Bajeti ya mishahara ni lazima ipitishwe na bunge baada ya kuangalia mahitaji ya wafanyakazi na mwenendo wa Uchumi.

Mara kadhaa huko nyuma ni wabunge wawili tu ambao walikuwa wakipigania haki za wafanyakazi ambao ni JJ Mnyika wa Chadema na Jaffo wa CCM. Lakini katika bunge la sasa simuoni mbunge yoyote wa CCM akishughulika na Wafanyakazi.

Wabunge wa CCM wengi ni wafanyabiashara na wale hohehahe wachache wanaotegemea mshahara ndio wale wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo.

Mbunge anayeondoka na mshahara na marupurupu ya zaidi ya sh 12 milioni kwa mwezi saa ngapi atamkumbuka mtumishi wa kima cha chini ikiwa madereva wao kila siku wanalia kudhulumiwa mishahara yao.

Mishahara itapanda pale tu watanzania watakapotambua namna ya kuchagua wabunge sahihi na si vinginevyo. Mei mosi siyo siku ya kupandisha mishahara bali Wafanyakazi kusherehekea mafanikio yao na kutiana moyo japo wafanyakazi wa Tanzania hutumia sherehe hizi kuwapongeza wanasiasa mfano leo kila kiongozi wa Tucta ilikuwa ni lazima ampongeze Jenister Mhagama.

Maendeleo hayana vyama!
Nauliza tu,hivi police,TISS na watumishi wa tume ya uchaguzi nao wanalipwa na serikali hii? Je wao wameshaongezwa mishahara? Au ruzuku ya ccm ikiongezeka basi mishahara na marupurupu yao navyo vinaongeza? Naukubali Sana uzalendo wao watu Hawa,wajuvi wa Mambo nisaidieni
 
Ongezeko la mshahara ni lazima lianzie au likamilishwe na mchakato wa kibunge. Bajeti ya mishahara ni lazima ipitishwe na bunge baada ya kuangalia mahitaji ya wafanyakazi na mwenendo wa Uchumi.

Mara kadhaa huko nyuma ni wabunge wawili tu ambao walikuwa wakipigania haki za wafanyakazi ambao ni JJ Mnyika wa Chadema na Jaffo wa CCM. Lakini katika bunge la sasa simuoni mbunge yoyote wa CCM akishughulika na Wafanyakazi.

Wabunge wa CCM wengi ni wafanyabiashara na wale hohehahe wachache wanaotegemea mshahara ndio wale wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo.

Mbunge anayeondoka na mshahara na marupurupu ya zaidi ya sh 12 milioni kwa mwezi saa ngapi atamkumbuka mtumishi wa kima cha chini ikiwa madereva wao kila siku wanalia kudhulumiwa mishahara yao.

Mishahara itapanda pale tu watanzania watakapotambua namna ya kuchagua wabunge sahihi na si vinginevyo. Mei mosi siyo siku ya kupandisha mishahara bali Wafanyakazi kusherehekea mafanikio yao na kutiana moyo japo wafanyakazi wa Tanzania hutumia sherehe hizi kuwapongeza wanasiasa mfano leo kila kiongozi wa Tucta ilikuwa ni lazima ampongeze Jenister Mhagama.

Maendeleo hayana vyama!
SI mpaka wawe na uwezo wa kuchagua na mazingira ya kuchagua yawepo? Yaani unategemea kwenye hizi chaguzi za maigizo,achaguliwe kiongozi mzuri?
 
Ongezeko la mshahara ni lazima lianzie au likamilishwe na mchakato wa kibunge. Bajeti ya mishahara ni lazima ipitishwe na bunge baada ya kuangalia mahitaji ya wafanyakazi na mwenendo wa Uchumi.

Mara kadhaa huko nyuma ni wabunge wawili tu ambao walikuwa wakipigania haki za wafanyakazi ambao ni JJ Mnyika wa Chadema na Jaffo wa CCM. Lakini katika bunge la sasa simuoni mbunge yoyote wa CCM akishughulika na Wafanyakazi.

Wabunge wa CCM wengi ni wafanyabiashara na wale hohehahe wachache wanaotegemea mshahara ndio wale wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo.

Mbunge anayeondoka na mshahara na marupurupu ya zaidi ya sh 12 milioni kwa mwezi saa ngapi atamkumbuka mtumishi wa kima cha chini ikiwa madereva wao kila siku wanalia kudhulumiwa mishahara yao.

Mishahara itapanda pale tu watanzania watakapotambua namna ya kuchagua wabunge sahihi na si vinginevyo. Mei mosi siyo siku ya kupandisha mishahara bali Wafanyakazi kusherehekea mafanikio yao na kutiana moyo japo wafanyakazi wa Tanzania hutumia sherehe hizi kuwapongeza wanasiasa mfano leo kila kiongozi wa Tucta ilikuwa ni lazima ampongeze Jenister Mhagama.

Maendeleo hayana vyama!
Nakupinga vibaya sana ! kama ununuzi wa ndege haukuanzia bungeni ama ule ujenzi wa Chatto international Airport haukuanzia bungeni kwanini wataka upandishaji wa mishahara uanzie bungeni ? unajaribu sana kumuokoa huyo jamaa yako lakini haokoleki
 
Heeeee! Hata kwa hili nalo mnataka kumsafisha jamaa?

Dah washkaji mna mahaba mazito mno na namba moja dah!

Hata iweje lazima mumuweke sehemu ya sio mkosaji. Anyways si mbaya mzee, yeye Hana kosa kwa Hilo
 
Back
Top Bottom