Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

KWISHA HABARI YETU....

unaweza kucheka kama mazur lkn ndio hivyo tena the roof of Afrika inapoteketea kwa kupoteza sifa zake, na heshima yake,
madhara tutayapata sisi wamilik wa hizi rasilimal kwa kupungua kwa watalii,

maana sifa mojawapo ya huo mlima ilikuwa kuwa na barafu ktk nchi za joto, na mlima pekee afrika, hivyo basi wagen wakishajua baazi ya sifa za huu mlima zmepotea, nani atapoteza muda wake kuja kupanda ilo limwinuko..

serkal ifanye kila liwezekanao kuokoa ama kupunguza madhara ya mabadiriko haya, iwe ni kupitia spiritual activities , ama environmenmental activities za kupunguza kasi ya mabadiriko,

spiritual activities zihusishe makuhani wa imani zote, yaan imani za jadi na imani za kigeni yaani dini za kuja ukristo&uislam

lipigwe zindiko moja la heshima na makafara ya wanyama uku wakialikwa waganga mashuhuri na wasoma nyota wote waje watutabilie why this,

pia yapigwe maombi ya nguvu wakialikwa wakina lusekelo mzee wa upako, gwajiboy, mwakasege, mwamposa, na wale wote waliojipa majina makubwa makubwa,

nazan kwa kufanya hiv tutakuwa tumethubutu kuyaokoa mazingira yetu AU NATANIA NDUGU ZANGU?(in magu's voice)
 
Pale rushwa inaposhindwa kudhibitiwa katika nchi madhara yake ndio hayo!! Watu wa maliasili wametajirika kupitia misitu, mkaa malori kwa malori yanaingia miji mikubwa kila siku!! Uliza sasa huo mkaa na mbao zimeingiaje,yaani ni rushwa mwanzo mwisho kwenye mageti ya maliasili.Serikali isipomulika idara ya maliasili hali itaendelea kuwa mbaya zaidi.
 
Nitalia mimi, The Monk.
Sawa,nitapanga vizuri niende. Ila sijui kama nitafika hata nusu yake.

Kuliko ntakavyokunyanyasa bora nikubebe mgongoni hadi tufike juu. Itabidi ujitahidi tu.
Inasikitisha sana kuona theluji inapukutika na kwisha yote.
 
Mkuu unadhan suruhisho ni nn?

Suluhu ni kupanda miti hata ifike 1b na liwe lengo haswa
Serikali iwekeze kwa uhakika na sio Dili kwa baadhi ya wakubwa bali iwe muendelezo

Wote wanaojihusisha na Kilimo kinachohusu ukataji wa miti walazimishwe kupanda miti mingi na mbegu au mashina wapewe bure ila walipe wapandaji

Wafugaji wote wapewe miti na waitunze kwa lazima
Vijijini na kila kaya wapande miti
Hata pembezoni mwa barabara zetu

Vyanzo vya maji vilindwe sana
Wenye viwanda wakimwaga chemicals zao kwenye mifereji wapigwe faini yenye nusu ya thamani ya kiwanda chake na wanapopewa licence masharti yote yawemo

Watu wanaona ni jambo la kawaida ila ni janga kubwa sana

Wajukuu watatulaani sana tusipotetea ardhi leo

Mawaziri wawe serious sio majungu tu waje na mikakati
Kama wanazunguka na mabakuli hela zipo nje nje kuhusu tabia nchi

Je Mama kapata ngapi huko Scotland?
 
Suluhu ni kupanda miti hata ifike 1b na liwe lengo haswa
Serikali iwekeze kwa uhakika na sio Dili kwa baadhi ya wakubwa bali iwe muendelezo

Wote wanaojihusisha na Kilimo kinachohusu ukataji wa miti walazimishwe kupanda miti mingi na mbegu au mashina wapewe bure ila walipe wapandaji

Wafugaji wote wapewe miti na waitunze kwa lazima
Vijijini na kila kaya wapande miti
Hata pembezoni mwa barabara zetu

Vyanzo vya maji vilindwe sana
Wenye viwanda wakimwaga chemicals zao kwenye mifereji wapigwe faini yenye nusu ya thamani ya kiwanda chake na wanapopewa licence masharti yote yawemo

Watu wanaona ni jambo la kawaida ila ni janga kubwa sana

Wajukuu watatulaani sana tusipotetea ardhi leo

Mawaziri wawe serious sio majungu tu waje na mikakati
Kama wanazunguka na mabakuli hela zipo nje nje kuhusu tabia nchi

Je Mama kapata ngapi huko Scotland?
Kupanda miti ni njia mojawpo lakini njia nyingine na muhimu sana ni kupunguza hewa ya ukaa inayozalishwa na viwanda hasa kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani, Ulaya, China, Japan n.k. Tatizo la hewa ya ukaa ndio linachangia kwa asilimia kubwa kutokea kwa mabadiliko ya tabia nchi hapa duniani. Bila haya mataifa tajiri yenye viwanda vikubwa na vingi kuafuta njia ya kupunguza hewa ya ukaa inayozalishwa na viwanda vyao hata kama tutapanda miti huku afrika hiyo miti na yenyewe itafikia mahali itanyauka kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi.
 
Mwenye Dunia yake anasoma maoni anaishia lucheka tu, maana haoni pointi yoyote critical.
Hayo madhara si Tanzania pekee, ni Duniani kote.
Lile blanketi lililokuwa linazuia madhara ya mionzi ya jua (ozone) limetafunwa almost 49%
Na waharibifu wakubwa ndio hao wafadhili wetu(maviwanda Yao makubwa sana na mengi sana)!
Sasa nawahakikishia bila kupepesa macho, ingawa binadamu ni mbishi sana, Gharika ya pili Iko Karibu sana.
Believe it or not. The thing is there!!
Watu ambao tayari wako notified, wameishaanza kupelekwa sehemu salama kabla ya mvua ya mawe na moto wa kiberiti(radi) kuanza kazi.
(chunguzeni kama mtawaona wale watu waliokuwa wanazurura-zurura)
 
Back
Top Bottom