Wadau!
Jana nilikuwa safarini kuelekea Afrika kusini nilikata tiketi toka tarehe 3 na SOUTH AFRICA AIRWAYS sasa jana nafika uwanjani naambiwa niongeze dola 10 kwa kuwa ADA YA UWANJA WA NDEGE imepanda toka 30 USD to 40 USD toka tarehe 01/07/2012 nikawauliza mbona mimi nimekata tiketi tarehe 3/7(baada ya tarehe 1/7/2012) wanasema wao hawajui hilo wanachotaka ni ni hela kama sina hawaniruhusu ku-check-in hivyo niahirishe safari. Najiuliza hivi kwa nini watu/abiria wasiarifiwe mapema mabadiliko yoyote yanayotokea kabla kodi husika kutozwa? hivi wageni wanatuonaje waTZ kwa hili? wasi wasi wangu ni kuwa huu ni mradi wa mtu binafsi pale AIRPORT! maana ukidai risiti hupewi unaambiwa risiti zimeisha? So wadau mnaotaka kusafiri kwa ndege ndani/nje ya nchi jiandaeni na kadhaa ya kudaiwa pesa zaidi ukifika uwanja wowote wa Ndege ndani ya Tanzania be it JNIA,KIA, Mwanza, TBR,KGM,MTWR,ZNZ etc.
Jana nilikuwa safarini kuelekea Afrika kusini nilikata tiketi toka tarehe 3 na SOUTH AFRICA AIRWAYS sasa jana nafika uwanjani naambiwa niongeze dola 10 kwa kuwa ADA YA UWANJA WA NDEGE imepanda toka 30 USD to 40 USD toka tarehe 01/07/2012 nikawauliza mbona mimi nimekata tiketi tarehe 3/7(baada ya tarehe 1/7/2012) wanasema wao hawajui hilo wanachotaka ni ni hela kama sina hawaniruhusu ku-check-in hivyo niahirishe safari. Najiuliza hivi kwa nini watu/abiria wasiarifiwe mapema mabadiliko yoyote yanayotokea kabla kodi husika kutozwa? hivi wageni wanatuonaje waTZ kwa hili? wasi wasi wangu ni kuwa huu ni mradi wa mtu binafsi pale AIRPORT! maana ukidai risiti hupewi unaambiwa risiti zimeisha? So wadau mnaotaka kusafiri kwa ndege ndani/nje ya nchi jiandaeni na kadhaa ya kudaiwa pesa zaidi ukifika uwanja wowote wa Ndege ndani ya Tanzania be it JNIA,KIA, Mwanza, TBR,KGM,MTWR,ZNZ etc.