jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
- Thread starter
- #21
Ooh nimekumbuka Ila kwa mbinde Sana kuwakuta watu Kama hao kwenye timu Kama hizoSpain sasa hivi wana Adama Traore
Ooh nimekumbuka Ila kwa mbinde Sana kuwakuta watu Kama hao kwenye timu Kama hizoSpain sasa hivi wana Adama Traore
Yea timu nyingine ambayo inakosa weusi ni German angalau kipindi hichi Sane, Gnabry na wengine wameongeza idadi.Ooh nimekumbuka Ila kwa mbinde Sana kuwakuta watu Kama hao kwenye timu Kama hizo
RudigerYea timu nyingine ambayo inakosa weusi ni German angalau kipindi hichi Sane, Gnabry na wengine wameongeza idadi.
Katika timu ambayo nilifikiri haitakua na mchezaji mweusi halafu nikawaona wengi ni Israel.
Kwani nani kasema lazima wawe huko?Kwani lazima Waafrika wawe huko hv sisi mbona tunapenda kujipendekeza sana
Unafuatilia mchezo gani?Kwani lazima Waafrika wawe huko hv sisi mbona tunapenda kujipendekeza sana
Spain-Adama TraoreItaly - Balotelli
Spain - Marcos Cena
Nimeshawahi kuwaona hao.
kwanin waliwauaItaly yupo Ogbonna asili Nigeria
Spain yupo Moriba mweusi amecheza under 17 mwaka jana.
Argentina waliuua watu weusi..hao wengine huwezi kukuta mweusi ingawa Iceland wapo watu wa west Africa muda sio mrefu machotara wataonekana.
Ubaguzi wa rangikwanin waliwaua
Alishawahi kuitwa timu ya taifa?Angola kuna mzungu yule HB wa Yanga!
Ni mkurya?Sio mzungu yule
Timu ambazo huwezi kukuta wazungu:
Tanzania
Kenya
Uganda
Ghana
Nigeria
S. Sudan
Zambia
Uzi tayari.
Hapana ni mnigeriaNi mkurya?
Anzisha na uzi unaongelea timu ambazo ni ngumu kumpata mchezaji mzungu. Mimi naanza na TanzaniaItaly
Argentina
Spain
Iceland
Croatia
Turkey
Ongezea zako