kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,660
Nina siku sijakusoma Mkuu na Leo imebidi nikutafute nikakutana na Bandiko lako. Asante sana kwa somo hili kwangu nitaliita zuri Maana nimeliishi
Kaka wakati naanza Biashara yangu ya Chupi nilikwenda sokoni nikauziwa Kila dozen moja 36000/=, ilinilazimu Kukomaa na bei ya 5000/pc
Lakini baada ya kuizoea na kuyajua masoko bidhaa ileile nikaanza kuipata chini ya 36000 hapo ikanirahisishia namna ya kuuza maana napata Faida.
Haikutosha now natafuta huko wanakotoa wao ni wapi na wanafanyaje Nataka nifike huko hawa middle man wapo waendelee kuwepo ila ukipata namna ya kumkimbia mkimbie haraka sana.
Hata huko China middle man wapo wengi nataka kuwakwepa pia. NASHUKURU MUNGU Kwa mtaji huu mdogo now naweza kuagiza Mzigo China unakuja namuomba Mungu mwaka huu ukiisha mwakani NAKWENDA MWENYEWE CHINA 😋
Kaka wakati naanza Biashara yangu ya Chupi nilikwenda sokoni nikauziwa Kila dozen moja 36000/=, ilinilazimu Kukomaa na bei ya 5000/pc
Lakini baada ya kuizoea na kuyajua masoko bidhaa ileile nikaanza kuipata chini ya 36000 hapo ikanirahisishia namna ya kuuza maana napata Faida.
Haikutosha now natafuta huko wanakotoa wao ni wapi na wanafanyaje Nataka nifike huko hawa middle man wapo waendelee kuwepo ila ukipata namna ya kumkimbia mkimbie haraka sana.
Hata huko China middle man wapo wengi nataka kuwakwepa pia. NASHUKURU MUNGU Kwa mtaji huu mdogo now naweza kuagiza Mzigo China unakuja namuomba Mungu mwaka huu ukiisha mwakani NAKWENDA MWENYEWE CHINA 😋