Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
- Thread starter
- #41
Nadhani na wewe ni kichaa zaid ya huyo mkurugenzi mtumishi wa umma sio mwanafunzi wa hostel na hakuna mwenye mamlaka naye baada ya masaa ya utumishi wa umma kama hata vunja sheria za nchi, na nyie ndio makada vichaa mlio pewa madaraka wakati uwezo wenu hauwezi hata kuongoza kuku.yuko sahihi watumishi wengi wakitoka mapema wanaenda kwenye ulevi na uzinzi wengine wanakuwa idle bora watoke hata saa 2 usiku waende nyumbani