Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
1.mkurugenzi wa wilaya ya ********* amewataka watumishi kufika kazini saa 12:30 alfajiri na kutoka saa 10 jioni tena ka vitisho , sasa sijui watumishi wafuate lipi sheria za utumishi au mawazo ya mkurugenzi, chanzo cha tatizo =??
2. Afisa elimu wilaya********* amewataka waalimu kutoka saa 12:00 jioni eti kisa wakitoka mapema wana zurura mitaani - huu ni udhalilishaji na ndio madhara ya kutumia kichwa na kuweka miongozo pembeni kwa kudhani walio iweka hawana akili kumbe walijua tukifuata akili ya mtu kuongoza badala ya kanuni zilizo pagwa kuna watawala wengine ni vichaa wa akili wanaweza kujisikia na kuwa ambia watumishi wote waende kazini uchi kisa tu amejisikia kufanya hivyo au amependa kumuona fulani akiwa uchi ana fananaje
. Jamani mlio pewa mamlaka fuateni sheria za utumishi wa umma zina sema nini na zina maana sana kuwepo msidhani nyie ndio mwajua kufikiri kuliko miongozo iliyopo hapa nyie mpo hapo kwa kuzingatia matakwa ya sheria
Nilicho kigundua ni baada ya baadhi ya viongozi kugundua kuwa mfumo wa serikali ya sasa ni wa kukiuka matakwa ya sheria hivyo viongozi wasio waadilifu na wenye akili ndogo wanatumia mwanya huo kukomoa watumish walio chini yao na kuwakandamiza kinyume na sheria
Ifike mahali TAMISEMI muwe mnawapa hawa watu semina za mara kwa mara kuhusiana na haki za watumishi na ikiwezekana kuwaadhibu pale watakapo kiuka miongozo kwa namna yeyote ile na kusababisha udhalilishaji kwa mtumishi
maana ni ukweli usio pingika kuwa watumishi huku chini wana nyanyasika sana na hawa watendaji wanao taka kujifanya wako juu ya sheria na kibaya zaid serikali kama imeachana kabisa na swala la kuwatetea watumishi, hakuna kauli za kufariji mrumishi wa umma kila siku ni vitisho ,makalipio sijui hii ni aina gani ya uongozi ,
Hakuna utendaji kazi bora kama hakuna ushirikishwa mzuri baina ya mtawala na mtawaliwa , kama kuna wanao amini eti vitisho na makalipio kila siku ndio uongozi bora basi nadiriki kusem WATUMISHI WA UMMA MNAONGOZWA NA WATU WENYE AKILI NDOGO NA WENYE UWEZO MDOGO KABISA TENA WA KIWANGO CHA CHINI KABISA KUFIKIRI hivyo ziteteeni nafsi zenu wenyewe maana hawa wenye akili ndogo watawaumiza sana maana hawana akili za uongozi bali ni manyapara.
2. Afisa elimu wilaya********* amewataka waalimu kutoka saa 12:00 jioni eti kisa wakitoka mapema wana zurura mitaani - huu ni udhalilishaji na ndio madhara ya kutumia kichwa na kuweka miongozo pembeni kwa kudhani walio iweka hawana akili kumbe walijua tukifuata akili ya mtu kuongoza badala ya kanuni zilizo pagwa kuna watawala wengine ni vichaa wa akili wanaweza kujisikia na kuwa ambia watumishi wote waende kazini uchi kisa tu amejisikia kufanya hivyo au amependa kumuona fulani akiwa uchi ana fananaje
. Jamani mlio pewa mamlaka fuateni sheria za utumishi wa umma zina sema nini na zina maana sana kuwepo msidhani nyie ndio mwajua kufikiri kuliko miongozo iliyopo hapa nyie mpo hapo kwa kuzingatia matakwa ya sheria
Nilicho kigundua ni baada ya baadhi ya viongozi kugundua kuwa mfumo wa serikali ya sasa ni wa kukiuka matakwa ya sheria hivyo viongozi wasio waadilifu na wenye akili ndogo wanatumia mwanya huo kukomoa watumish walio chini yao na kuwakandamiza kinyume na sheria
Ifike mahali TAMISEMI muwe mnawapa hawa watu semina za mara kwa mara kuhusiana na haki za watumishi na ikiwezekana kuwaadhibu pale watakapo kiuka miongozo kwa namna yeyote ile na kusababisha udhalilishaji kwa mtumishi
maana ni ukweli usio pingika kuwa watumishi huku chini wana nyanyasika sana na hawa watendaji wanao taka kujifanya wako juu ya sheria na kibaya zaid serikali kama imeachana kabisa na swala la kuwatetea watumishi, hakuna kauli za kufariji mrumishi wa umma kila siku ni vitisho ,makalipio sijui hii ni aina gani ya uongozi ,
Hakuna utendaji kazi bora kama hakuna ushirikishwa mzuri baina ya mtawala na mtawaliwa , kama kuna wanao amini eti vitisho na makalipio kila siku ndio uongozi bora basi nadiriki kusem WATUMISHI WA UMMA MNAONGOZWA NA WATU WENYE AKILI NDOGO NA WENYE UWEZO MDOGO KABISA TENA WA KIWANGO CHA CHINI KABISA KUFIKIRI hivyo ziteteeni nafsi zenu wenyewe maana hawa wenye akili ndogo watawaumiza sana maana hawana akili za uongozi bali ni manyapara.