One the Incredible a.k.a Kardinali has stuck in the 90s.

Mok
Ujuh kuchambua mamb mzaz una attack m2 direct kwnda na wakat saw ila uwez kwenda na kila kitu katk huo wakat usika,ukisema wat waend na wakati utahamasisha vijana wale unga maana wakat huu imekua sana.vl vil utahamasish wat wawe mashoga kwn nyakat hz wat wanapambnia huo ushoga…acha moko afany ngumu make c kwmb wote wanapenda unachopenda wew,stl kuna wadau kibao wa ngumu bro
Moko hafanyi hiphop ngumu. Moko ni mghani mashairi. Ile anayo fanya sio hiphop.

Hiphop ngumu inafanywa na watu kama Lord Eyez ( On his Prime), Gwm et al.
 
Mok

Moko hafanyi hiphop ngumu. Moko ni mghani mashairi. Ile anayo fanya sio hiphop.

Hiphop ngumu inafanywa na watu kama Lord Eyez ( On his Prime), Gwm et al.
Una Ubungo mgumu sana, yaani hueleweki.
Hata hivyo mpaka leo bado nasikiliza midundo ya 9th wonder ,Bunduki midundo, Pala midundo, Kululete, ambayo ndiyo anayotembea nayo One.
Sikiliza unachopenda ila sio kushambulia mtu ili apende unachokipenda wewe. Mpaka leo Common ana staili yake ile ile sababu anapenda na anafurahia muziki wake na ana shabiki zake pia.
Niruhusu nikutukane
 
Kwanza kabisa hiyo a.k.a ya Kardinali mimi ndio nimempa huyu jamaa kwa sababu ana Pengo.

Back to my point. One the Incredible has stuck in the 90s. He thinks 2019 is 1994.

Yani up to this era huyu jamaa bado ana ule ushamba wa kusema fulani ni Rapper na fulani ni Mc?

Na anavyo itajaga hihop its so funny.Anatamka " HIPHAP" .

Muziki wa Hiphop ngumu ( ambayo huyu Bwana Mdogo Kardinali ) ana u pioneer ulikuwa relevant in 70s, 80s and mid 90s.

Actually even before the " death" of Tupac Shakur and Frank White muziki huo ulikuwa umesha katwa kichwa tayari.

Tulicho kishuhudia kuanzia mwaka 96,97 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa ni mtikisiko wa mkia wa muziki wa huo ambao tayari ulikuwa umeisha kufa since the days of Pontiius of Pilates"


Huu ulikuwa muziki ulio tumiwa na watu weusi hasa wa ( Ghetto America) kuelezea machungu yao.

Initially American System had been designed for the failure of Black People.

In a response Vijana wamarekani weusi waliutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutumia muziki wa Hiphop kuwa mobilize wamarekani weusi sanjari na ku spread consciousness and awareness among them.

Baada ya conditions kuwa improved muktadha wa muziki huo ukabadilika kutoka kwenye kuimba nyimbo za kutetea haki za watu weusi hadi kwenye nyimbo za kuhamasisha violence among Africans Americans.

Pioneer wakuu wa muziki wa Hiphop wa sasa wakawa watu wa maisha ya ghetto na vikundi vya kihalifu " gangs".

Kundi moja kutoka hood moja linaweza kufanya wimbo kwa ajili ya kutukana au kutishia kundi jingine kutoka mtaa mwingine na ujinga ujinga mwingine kama huo.

Hawa ndio aina ya watu ambao wame mu influence one the Incredible. Kama hiyo haitoshi anataka aina hii ya muziki ndio iwe promoted!!!!

Kwangu mimi muziki wa Hiphop haujawahi kuwa utamaduni. Ni mtindo wa muziki kama mtindo mwingine tu yani kama ilivyo muziki wa Kwaya au Rnb.


One the Incredible badala ya kuhamasisha watu wa upende muziki wao wa asili una taka watu waupende muziki wa wamarekani weusi wanaoishi ghetto!!! Are u sure ur not sick?


Wamarekani weusi wa ghetto unawaona watu wa maana sana kiasi umeamua kuyaishi maisha yao na kutaka watu waufuate mtindo wao wa maisha?..

For your information " BLACK ( Ghetto )AMERICANS, ARE THE MOST LOWEST FORM OF BLACK PEOPLE"

Ni fedheha kwa kijana kutoka katika nchi ya Kiafrika kuiga mtindo wa maisha wa watu weusi wanaoishi ghetto nchini Marekani ambao wengi wao hawana maadili wala utu.

Kwa Wasanii wa muziki wa Hiphop ambao wewe One unawahusudu.


1.They dont respect their women. To them All women are bitches..Just listen to their songs.
2. They call their houses ghetto.
3. They promote violence ( Shooting people and nonsense like that)

4. They use alot of curse words etc
They miss lead black kids and alot of other related stuffs.

Hata baadhi ya hao wasanii weusi ambao wamefanikiwa kutoka kimaisha hawayapendi maisha ya ghetto. Mfano mzuri 50 Cents kwenye wimbo " Hate It or Love It " anasema " NOTHING GOOD IN HOOD RUN AWAY FROM THIS BITCH NEVER COMEBACK IF I COULD".

50 Cents huyo huyo alimtosa Swahiba wake wa enzi za Mtaani " Bang Em Smurf" baada ya kuona jamaa.analeta mambo ya " kishamba" ya mtaani ilihali 50 tayari alikuwa ametoka kimuziki na kimaisha.

Kutengeneza image yake akamtosa jamaa.Sasa hivi amekuwa deported yupo Trinidad and Tobago huko anavuta ashish.


Acha ushamba One the Incredible usituletee ushamba wako wa miaka ya 90.
Eti unasimamisha nguzo za Hiphop.!!! Nguzo za Hiphop?

Those who stuck in the 90s die like in the 90s.

Fanya research yako kuhusu Chicago Hiphop. Hawa watoto wa Chicago wamestuck kwenye 90s ndio maana wanauana sana. M. You tube dogo wa Chicago anaitwa Young Pappy, tazama Life Style yake, muziki wake, watu alio waua na jinsi alivyo uliwa.

Huku Tz hutouliwa ila muziki wako utakufa kama ambavyo mimi na wewe tunajua muziki wako umekufa.

Hupati show yoyote wala hakuna mtu anajua nyimbo zako.

Wewe na crew yako wote mnao chana kwa style zinazo fanana hamna mafanikio yoyote kimuziki kwa sababu mmekataa kwenda na wakati.

Mnawachukia weusi bure tu
Weusi wanatumia akili. Wanafanya muziki unao endana na wakati uliopo.

Wakati uliopo sasa unawahitaji wanamuziki wa aina Joh Makini, Nikki Wa Pili & Co kuliko watu kama wewe Nash, P the Mc, Nikki Mbishi etc.

For any one to love ur kind of music he or she must travel back to the 90s.

Kwenye crew yenu mtu pekee anae fanya muziki mzuri ni Songa.

Acheni kwenda kinyume na maandiko. Maandiko yanasema ukomboeni wakati. Nyinyi wakati wenu mnaupoteza bure.

Muziki ni style, beats and beautiful melody.
Kama unataka kutoa ujumbe andika kitabu au nenda pale Nkurumah Hall kafanye Speech iwekwe You Tube.

Usilazimishe wote wawe kama wewe. Wewe Nyota yako imekufa ndo maana unavutiwa na vitu vilivyo kufa kama huo muziki unao ufanya.

Wewe una ijua Hiphop kuliko Nas.?Nas amezaliwa Hiphop inapotokea lakini anasema " Hiphop is Dead"

Joh Makini and ur crew fanyeni muziki wazee. Raia tunawakubali sana.


One the Incredible and ur crew inawezekana mkawa na nia nzuri sana lakini kitu kizuri huwa hakitazamwi kwa kuangalia nia ya mtu bali matokeo yake.

Kama unafanya muziki wako halafu watu hawaupendi maana yake ni kwamba unafanya muziki mbaya.

# KULETA HIP HOP NGUMU TZ MIAKA HII NI SAWA NA KULETA TZ NYIMBO ZA ENZI ZA STRUGGLE AGAINST APARTHEID IN SOUTH AFRICA LIKE ' MAYIBUYE ,KHAWULEZA, & NDONDEMNYAMA VEROWOED BY MIRIAM MAKEBA AU WIMBO KAMA ' OLIVERTHAMBO TETA NO BOTHA"ETC.
NYIMBO HIZO SI TU KWAMBA WAKATI WAKE UMEISHA PITA NOW BALI HATA WASAUZ WENYEWE HAWAZISIKILIZI SEUZE UZILETE HAPA TZ.

MATOKEO YAKE KILA SIKU MNALALAMIKA MNABANIWA.
Natamani sana kuona UNO anafanya zaidi ya kina fid q na wengineo...

Haendi na wakati...its a shame..
 
Ukweli bongo muziki haulipi kiasi hicho wapo wachache ndo wanafaidika ila namba kubwa ya wasanii ni hungry fire stress kibao kwa ajili ya kuishi maisha ya kupretend wengi wanaona wanahiphop ndo wanamaisha duni Ila ni kwa sababu wanahiphop hawapretend maisha... Ila in general ukisema wasanii wote waishi maisha halisi ndo utajua kuwa sio hiphop tu ndo halipi Bali muziki Tanzania haulipi.
Ukweli mtupu
 
"Hip hop nafurahi kuwa wako, hata usiponizalia mtoto nitafurahi kua anko" - One the incredible

Kuna aina tofauti tofauti za muziki. Kila mmoja anasikiliza ule unaomvutia. Mimi ni mmoja ya wanaovutiwa na aina ya muziki anaofanya One, Nikki Mbishi and the like.

Nakushauri ujaribu kugundua aina ya muziki unaoupenda, na ujikite huko. Tuachie hip hop ngumu, sio ya kila mtu!

One the incredible and Nikki Mbishi are among the realest to ever do it. Kumtaka abadilike, ni kama kumtaka Nas achane kama Drake au Jigga apige trap rapping za future!

Nigga, we're not stuck in the 90's, we're just too classy to accept fakers!

Wanasema one man's poison is another man's medicene. So, take a chill pill and relax. Hatukukatazi kupenda taarab au aina nyingine ya muziki. Hilo ni chaguo lako, kama ambavyo sisi tumechagua kumsikiliza Uno!

"Nafanya kama sijawahi fanya vyema, na nikifanya nafanya kama sitofanya tena" - One the incredible
Umetishaaaaaa
 
Wakati unasema One aache chuki dhidi ya Joh Makini na wenzie, wewe unaonyesha chuki ya wazi dhidi ya One. Ain't it funny?

Anyway, kwa akili na mawazo kama haya unayoandika kwenye hii thread, ni wazi kwamba huwezi kumuelewa One the lyrical genius!

One is truely incredible!
Wazee wa nusu nusu wamebaki robo lita, kuhusu kunusurika wasahau kabisa/

Unju bin unuki
 
Umeeleweka bro,mim ni mfuasi wa hip hop ngumu ambayo kwa tz hawa jamaa wa lunduno wanaifanya ila kwa dunia ya sasa kwa kweli watapata tabu Sana sio tz ata state kwa sasa sio kivile
 
Umeeleweka bro,mim ni mfuasi wa hip hop ngumu ambayo kwa tz hawa jamaa wa lunduno wanaifanya ila kwa dunia ya sasa kwa kweli watapata tabu Sana sio tz ata state kwa sasa sio kivile

Hapana mkuu

Hiphop ngumu ina niche ya watu wake!

Sio wengi kama unavyotaka,ila tupo na tunajitosheleza!

Hamna haja ya kuwa downplay!

Afterall Hiphop music kwa ujumla wake as a genre ni underground na wala sio mainstream!
 
ukiona unachukia life style ya mtu ambaye hana tuhuma zozote miongoni mwa ulizozitaja kisa tu unataka afanye utakavyo ww huna budi kupimwa mkojo
 
U
Una Ubungo mgumu sana, yaani hueleweki.
Hata hivyo mpaka leo bado nasikiliza midundo ya 9th wonder ,Bunduki midundo, Pala midundo, Kululete, ambayo ndiyo anayotembea nayo One.
Sikiliza unachopenda ila sio kushambulia mtu ili apende unachokipenda wewe. Mpaka leo Common ana staili yake ile ile sababu anapenda na anafurahia muziki wake na ana shabiki zake pia.
Niruhusu nikutukane
U sound like u was in jail
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom