michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,213
- 3,654
Ukweli bongo muziki haulipi kiasi hicho wapo wachache ndo wanafaidika ila namba kubwa ya wasanii ni hungry fire stress kibao kwa ajili ya kuishi maisha ya kupretend wengi wanaona wanahiphop ndo wanamaisha duni Ila ni kwa sababu wanahiphop hawapretend maisha... Ila in general ukisema wasanii wote waishi maisha halisi ndo utajua kuwa sio hiphop tu ndo halipi Bali muziki Tanzania haulipi.
I second that, maisha bora ya wasanii bongo wengi yanaishia instagram tu.... labda na lokesheni kwenye kushuti (wanaopretendi).