Asante kwa uchambuzi makini chief! Mie pia ntaenda na Oneplus hapoOneplus 8 bila kufikiria mara 2, hio Reno 5 5g pro ipo overpriced kwa Simu yenye dimensity 1000.
Hapa nimekuwekea simu 3 oneplus 8, Reno 5 5g pro na Realme x7 pro ultra,
Utaona hapo Reno 5G pro na Realme X7 pro ultra ni kama simu moja tu, lakini utofauti wa bei ni mkubwa almost mara 2.
Oneplus 8 yenyewe ni flagship ya mwaka jana, ina processor ya ukweli hivyo perfomance itakuwa kubwa sana.
Display ni kama zinafanana, na battery inakaa na chaji sana. Pia muonekano wake ni premium.
Kuhusu camera hardware wise reno 5 5g pro ni nzuri ila kwa features oneplus 8 ni nzuri zaidi Sababu ya Soc nzuri. Mfano unaona kwenye hizo specs op 8 ina uwezo wa ku record video ya 4k kwa 60fps wakati Reno 5 5g hakiwezi, pia inaweza kurecord slow-motion za 1080p kwa 240fps compare na 120fps ya Reno 5 5g pro.
Oneplus 8 bila kufikiria mara 2, hio Reno 5 5g pro ipo overpriced kwa Simu yenye dimensity 1000.
op 8 ni kama sh ngapi niandaeOneplus 8 bila kufikiria mara 2, hio Reno 5 5g pro ipo overpriced kwa Simu yenye dimensity 1000.
Hapa nimekuwekea simu 3 oneplus 8, Reno 5 5g pro na Realme x7 pro ultra,
Utaona hapo Reno 5G pro na Realme X7 pro ultra ni kama simu moja tu, lakini utofauti wa bei ni mkubwa almost mara 2.
Oneplus 8 yenyewe ni flagship ya mwaka jana, ina processor ya ukweli hivyo perfomance itakuwa kubwa sana.
Display ni kama zinafanana, na battery inakaa na chaji sana. Pia muonekano wake ni premium.
Kuhusu camera hardware wise reno 5 5g pro ni nzuri ila kwa features oneplus 8 ni nzuri zaidi Sababu ya Soc nzuri. Mfano unaona kwenye hizo specs op 8 ina uwezo wa ku record video ya 4k kwa 60fps wakati Reno 5 5g hakiwezi, pia inaweza kurecord slow-motion za 1080p kwa 240fps compare na 120fps ya Reno 5 5g pro.
1.2m mpaka 1.5m hivi.op 8 ni kama sh ngapi niandae
My mistake mkuu nimeiona,Asante chief
Correction kidogo hii ni reno5 pro plus 5g sio Reno5 pro 5g naiona iko na processor sawa na op8 zote zina sd 865View attachment 1768036
ndo umsha isikia karibuOne plus 8 ndo sim han hiyo mbona sijawah isikia
ShukuraniMy mistake mkuu nimeiona,
Simu nzuri mkuu kama unaipata kwa hio budget ya OP8, hata camera iliotumika ni nzuri na zile limitation za mwanzo hazipo, sensor yake ni kubwa pia 1.56"