britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
I said kwamba baada ya timu kubwa Belgium na German Kauga atafuata Spain then Argentina
Morocco katufanyia kazi Kwa Spain twasubiri uholanzi amtoe Argentina , akikosa kosa hapo Morocco anamtoa
Ureno anaweza toka leo watu wanauliza Kwanini sijamtaja ureno kama Timu kubwa kutoka?
Kwa taarifa yenu Ureno hata kwenye timu kubwa hayupo Ndo maana namuona Kama Kina Ghana na TanzAnia tu
Britanicca
Wakubwa wanaofuata kuaga mashindano baada ya Germany na Belgium ni Spain na Argentina kwa hatua ijayo
Argentina hatua ya 16 Bora itamuwia ngumu mno kwakuwa hadi hapa walipofika ni kwa bahati bahati tu! Spain yupo na mkusini wake Morocco, siku ambayo watu watazikimbia mikeka yao hapa. Sina kipaji cha kumuelezea mtu aelewe maono yetu tuliyojaliwa kuyaangalia mambo kwa nguvu ya ziada! Nitafufua...
www.jamiiforums.com
Morocco katufanyia kazi Kwa Spain twasubiri uholanzi amtoe Argentina , akikosa kosa hapo Morocco anamtoa
Ureno anaweza toka leo watu wanauliza Kwanini sijamtaja ureno kama Timu kubwa kutoka?
Kwa taarifa yenu Ureno hata kwenye timu kubwa hayupo Ndo maana namuona Kama Kina Ghana na TanzAnia tu
Britanicca