Mkuu QM Message imefika kulikokusudiwa.....Pia huko kwa Mkuu kuna kipande cha nakala ya gazeti la Rai kinachozungumzia "safari za JK".....Muungwana ataviona Jumatatu....Kuwa makini unaweza kupata vitisho,kwani mambo sio mema sana,Jamaa wengi wamepata access ya kuingia JF.Wakuu wamewaambia wasipozijibu shutma ina maana wameshindwa kazi...Tujiandae kupambana kwa Hoja...kuna watu wanatumwa kijiweni...Naambiwa hapa kwamba mwanachama wa JF anayeitwa Lula (sijawahi kumuona) nae ni target!!
Tufunge Mikanda,hali ikifikia hivi ina maana messages zinawafikia....
Mkuu QM Message imefika kulikokusudiwa.....Pia huko kwa Mkuu kuna kipande cha nakala ya gazeti la Rai kinachozungumzia "safari za JK".....Muungwana ataviona Jumatatu....Kuwa makini unaweza kupata vitisho,kwani mambo sio mema sana,Jamaa wengi wamepata access ya kuingia JF.Wakuu wamewaambia wasipozijibu shutma ina maana wameshindwa kazi...Tujiandae kupambana kwa Hoja...kuna watu wanatumwa kijiweni...Naambiwa hapa kwamba mwanachama wa JF anayeitwa Lula (sijawahi kumuona) nae ni target!!
Tufunge Mikanda,hali ikifikia hivi ina maana messages zinawafikia....
Watapaza/Tutapaza sauti yetu kwa pamoja kwa kutumia lugha gani - Kiingereza?