Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,881
- Thread starter
- #21
Huu uzi mzuri sana
Pamoja Mkuu
Huu uzi mzuri sana
Gwajimahii imfikie yule jamaa mbishi
Uko sahihi kwani vyama vyote vina mpinzani, CCM ni mpinzani wa Chadema, ila ndoto yako inaweza kukutia matatani, kamuulize Lema.Ndoto nyingine ni ngumu sana kuzielewa, nimeota Mama ametangaza kwenye mkutano wa hadhara kuwa anahamia upinzani.
@hii imfikie yule jamaa mbishi
Kwani nimemuongelea mama gani? Au kila mama unayemjua wewe kila mtu anamjua?Uko sahihi kwani vyama vyote vina mpinzani, CCM ni mpinzani wa Chadema, ila ndoto yako inaweza kukutia matatani, kamuulize Lema.