Ondoeni Threads Zote Za Jmushi!

Jun 19, 2008
9
0
Kwasababu mumemwonea dogo...Naona ni bora mufute na threads zake zote ili UNAFIKI WOTE uishe.
Ni maoni yangu tu kwasababu na ile thread yake ya msamaha mmeifuta kiugaidi?
 
myonge mnyongeni kama hujasema kaonewa wapi, msg yako inakosa uhalisia ....
hebu tukumbushe kwanza.
 
kwa hiyo kama huioni, badala ya kuuliza imeenda wapi umeanza jmushi anaonewa na msg zake zote ziondolewe!
pathetic
 
Back
Top Bottom