JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Sekunde 13 za Idd Amin.
Kuna hotuba ya Mwalimu inayoendelea kwa sasa TBC (usia wa Baba), ni hakika Mwalimu aliudhiwa na huyu Jamaa.Alikuwa ana m bore sana Nyerere huyu jamaa.
Alihost mkutano wa OAU enzi hizo. Kikundi cha ngoma kutoka jeshini kilitumbuiza wageni. Alimpenda mcheza shoo mmoja. Mpaka mwisho wa mkutano alishamuoa na Yaser Arafat a kawa best man.Huwa naingia You tube kuangalia clips zake...Jombaa alikuwa ni shida
enzi za utawala wake alimiliki Dollar million 76
inasemekana aliacha watoto wapatao 43 na hao alizaa na wanawake tofauti tofauti!
Kumbe alikuwa mtu wa totoz sana!Alihost mkutano wa OAU enzi hizo. Kikundi cha ngoma kutoka jeshini kilitumbuiza wageni. Alimoenda mcheza shoo mmoja. Mpaka mwisho wa mkutano alishamuoa na Yaser Arafat a kawa best man.
Duh, lijamaa lilikuwa libabe sana, nasikia alikua analazimisha..ukikataa utakiona cha moto.Alihost mkutano wa OAU enzi hizo. Kikundi cha ngoma kutoka jeshini kilitumbuiza wageni. Alimoenda mcheza shoo mmoja. Mpaka mwisho wa mkutano alishamuoa na Yaser Arafat a kawa best man.
Akimpenda mkeo nawa mikono kama mtu fulani vileKumbe alikuwa mtu wa totoz sana!
Kama ile stori Biblia ya Uria na King David.Akimpenda mkeo hawa mikono kama mtu fulani vile
Tena afadhali upewe ubalozi, Amini alikupoteza tu.Kama ile stori Biblia ya Uria na King David.
Weka hapa tujueNapenda mfatilie historia ya idd amin kwa upande wa kushoto usiridhike na historia tulizosoma shulen mana kuna mengi yalofichwa. n sawa na kifo cha Adolf Hitla tunavyodanganyana piya
Waswahili shida zooote hizo! alazimishwe mtu kweli? au hao walotaka kuolewa ndo walilazimisha?Duh, lijamaa lilikuwa libabe sana, nasikia alikua analazimisha..ukikataa utakiona cha moto.
Madiktekta wanapenda wanawake wazuri, Bokhasa alioa Mchina, Mrusi, Mjerumani.Kumbe alikuwa mtu wa totoz sana!