I am Bless
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 231
- 517
Habari,
Niende moja kwa moja kwenye points,
1) Watu wenye akili nyingi hujadili fursa.
2) Watu wenye akili za kati hujadili matukio.
3) Watu wenye akili za chini/ ndogo hujadili maisha ya watu.
Hitimisho: Be honest with yourself, wewe upo namba ipi kati ya hizi hapa,
Hata kama kwenye reply utasema upo namba 1 wakati uhalisia wako upo namba 2 au 3 sawa ila fanya juu chini ubadilike.
"Be honest with yourself" 📌
Niende moja kwa moja kwenye points,
1) Watu wenye akili nyingi hujadili fursa.
2) Watu wenye akili za kati hujadili matukio.
3) Watu wenye akili za chini/ ndogo hujadili maisha ya watu.
Hitimisho: Be honest with yourself, wewe upo namba ipi kati ya hizi hapa,
Hata kama kwenye reply utasema upo namba 1 wakati uhalisia wako upo namba 2 au 3 sawa ila fanya juu chini ubadilike.
"Be honest with yourself" 📌