Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Pata sukari,mayai,baiskeli,kanga,pilau,walikuku,sambusa,tairi za trekta,madaftari,bia aina zote,petroli,matunda,nazi,vitumbua,mitumba grade 1,supu ya utumbo,mabati,vocha,mtego wa panya,pembejeo,makabati ya nguo,computer,juice na mboga mboga,mahindi ya kuchoma,bajaj,cement,leso,vyumba vya wageni na vyuma chakavu...
Aisee huyu mangi anawaza nini kwa biashara hii?
Aisee huyu mangi anawaza nini kwa biashara hii?