Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Una maana gani hapo kwa RED?
Nina maana kukaa juu mgongo wake! Weye ulifikirije kwani?Una maana gani hapo kwa RED?
Uwe makini unapoandika mambo yanayohusu wanyama na binadamu.Nina maana kukaa juu mgongo wake! Weye ulifikirije kwani?
Uwe makini unapoandika mambo yanayohusu wanyama na binadamu.
Niambieni sasa bwn wenuu au mnaniogopaa!!nadhan anapaswa kuwa makini kwenye uteuz wa maneno,maana moja ya mambo yanayosababisha utata kwenye tungo ni
-NENO KUWA NA MAANA ZAIDI YA I
-KUTOZINGATIA KANUN ZA UANDISHI
-ATHAR ZA LUGHA MAMA(ZA MAKABILA)