Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,414
- 3,650
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.