Ona mawazo ya mbunge mteule Jimbo la Rungwe yalivyo!

jzm-teak

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
1,770
319
Mbunge mteule wa CCM Saul Henry Amon Jimbo la Rungwe kipaumbele chake cha kwanza ni elimu, ataanza kusomesha watoto wawili wawili kila kata. Atawasomesha wa sayansi kwa ajili ya madaktari.

Hapa ndo swali linakuja hivi, ahadi za Magufuli ni ELIMU BURE MPAKA KIDATO CHA NNE! Maana'ke kuanzia kidato cha tano na kuendelea ni malipo.

Je, atawalipia mpaka kiwango gani cha elimu? Kigezo ni kipi cha kuwachagua atakaosaidia? kwanini pasiwepo na sera ya kitaifa kuwa serikali itoe ELIMU BURE?

KUWALIPIA WATOTO WAWILI WAWILI ITAKUWA MBINU YA KULIPANA FADHILA KWA WAPIGA CAMPAIGN WAKE!
 
Daah,roho inaniuma sana pale tunapoacha mbachao kwa msala upitao!!.Kupitia sanduku la kura tumekataa elimu bure mpaka chuo kikuu halafu tutaanza kupanga foleni kwa S.H AMON kupata nafasi 2 kila kata kwa wale wa Sayansi..Hell!!
 
Huu uzi wako ni kiherehere cha kutaka kumkatisha tamaa Mh. Amon na kumchafua bila sababu.

Ni wazo zuri sana kulipia vijana elomi kwani ni gharama kubwa kusomesha madaktari.

Naamini Amon akishaanza kutekeleza maswali yako yatajibiwa.

Tulikuwa na sera ya elimu bure huko nyuma ikafa.
Sababu zake tunazijua.

Hata kama analipa fadhila (ambapo yaweza kuwa ni uzushi) ni wazi kuwa wananchi watafaidika.

Kuna njia nyingi za kulipa fadhila na wewe umerukia hili juu kwa juu bila hata kufanya utafiti kidogo au kupata majibu ya maswali yako kwa mbunge mteule.

Watu hawana jema kabisa!!!
 
Hata akiwasomesha wana chachu gani kwa wanarugwe kutuongezea vilaza wa ccm kwenye jamii hata kama ma pro likiwa ccm mbumbumbu na hasara kwa jamii inayomzunguka
 
Watoto wawili Kwa kila kata wachache mungu msaidie afikilie zaidi,japo kuwa atakuwa anakinzana na Sera ya chama chake
 
Huu uzi wako ni kiherehere cha kutaka kumkatisha tamaa Mh. Amon na kumchafua bila sababu.

Ni wazo zuri sana kulipia vijana elomi kwani ni gharama kubwa kusomesha madaktari.

Naamini Amon akishaanza kutekeleza maswali yako yatajibiwa.

Tulikuwa na sera ya elimu bure huko nyuma ikafa.
Sababu zake tunazijua.

Hata kama analipa fadhila (ambapo yaweza kuwa ni uzushi) ni wazi kuwa wananchi watafaidika.

Kuna njia nyingi za kulipa fadhila na wewe umerukia hili juu kwa juu bila hata kufanya utafiti kidogo au kupata majibu ya maswali yako kwa mbunge mteule.

Watu hawana jema kabisa!!!

Kwanza nimesema "ELIMU" na sio "OLOME", Pia jiulize nikwanini SERA ya elimu ilikufa? waulize hao viongozi wote wanaokomalia malipo kwa ELIMU walilipa Sh ngapi? Nyerere si aliwapa ELIMU BURE? ni kwanini sisi wanatuuzia?
 
Hili jamaa nalo tapeli tu. Unanunua dawa dukani kwake za kutibu chunusi zikipona unapata hara hara.
 
Kwanza nimesema "ELIMU" na sio "OLOME", Pia jiulize nikwanini SERA ya elimu ilikufa? waulize hao viongozi wote wanaokomalia malipo kwa ELIMU walilipa Sh ngapi? Nyerere si aliwapa ELIMU BURE? ni kwanini sisi wanatuuzia?

Hizi porojo nyingi na ujuaji haisaidii.

Mwache Amon afanye kazi yake.
Ni mapema mno kuanza kumkatisha tamaa aache kusaidia/kuleta/kuharakisha maendeleo jimboni mwake. Mada imekaa kinafiki sana.

Watu wameangalia sera na wamemkataa Lowassa na sera zake na wamemfuata Magufuli. Heshimu maamuzi wa wananchi hata kama ni machungu kwako.

Na sio kila cha bure ni kizuri.
Utajafanywa vibaya kwa kutafuta vya bure.
 
Daah,roho inaniuma sana pale tunapoacha mbachao kwa msala upitao!!.Kupitia sanduku la kura tumekataa elimu bure mpaka chuo kikuu halafu tutaanza kupanga foleni kwa S.H AMON kupata nafasi 2 kila kata kwa wale wa Sayansi..Hell!!

Hivi mkuu unakiri kwa dhati kabisa ccm wameshinda?
 
Yaani tumekataa watoto wetu kupata elimu bora kuanzia nursery mpaka chuo kikuu!!! Akili za watanzania inabidi zichunguzwe!!!
 
Pamoja na kwamba ni mbunge kwa CCM awachane na ushabiki wa matusi nk.awe kama RIP Deo.maendeleo yatapatikana na wote bila kujali vyama tutampenda na kusaidiana naye. Dont be like mtu hajasoma
 
Hizi porojo nyingi na ujuaji haisaidii.

Mwache Amon afanye kazi yake.
Ni mapema mno kuanza kumkatisha tamaa aache kusaidia/kuleta/kuharakisha maendeleo jimboni mwake. Mada imekaa kinafiki sana.

Watu wameangalia sera na wamemkataa Lowassa na sera zake na wamemfuata Magufuli. Heshimu maamuzi wa wananchi hata kama ni machungu kwako.

Na sio kila cha bure ni kizuri.
Utajafanywa vibaya kwa kutafuta vya bure.

kwani serikali ikiweka sera ya kusomesha watu wake wasilipie, then ipate wataalamu wakuifanyia kazi nakupata uzalisha wenye ufanisi wa hali ya juu ni vibaya? sasa hivi si unaona watu wanafanya kazi kama wapendavyo maana wengi wamejilipia elimu!, serikali inafanya makusudi ili watu wengi wasisome na hasa chama tawala kiendelee kuwaburuza wasiojua haki yao!
Mnafiki ni wewe usiye tambua kuwa pesa ya serikali ikiwekezwa kwa watu wake ili waelimike ni bure! makusanyo ya serikali ni mali ya wananchi wake! sio pesa ya mashangingi na kwenda kutibiwa APOLO!
 
John Mrema wa CHADEMA.......Pse andaa mikutano ya kuwashukuru wananchi na kuwataka watulie na kushirikiana na serikali ya CCM.Naona hiyo nyomi itadhihirisha ukweli...maana hapo hakutakuwa na kisingizio cha SERA.pse hakikishia ulimwengu kwa njia hiyo tu
 
Back
Top Bottom