Ona majanga! tabia ya kupiga wanawake

Qualifier

JF-Expert Member
Dec 14, 2012
1,252
403
Jamaa mmoja alienda hosipitali alipofika akajieleza kuwa anajisikia homa kali, dakatari akamwambia kesho yake apeleke mkojo na uwe ni ule alio ukojoa mapema asubuhi. Jamaa alipo amka akakojoa mkojo akauhifadhi kwenye kichupa akaweka chumbani sakafuni akaenda kuoga. Mkewe wakati anafanya usafi bahati mbaya akamwaga ule mkojo, kwa kuogopa kipondo toka kwa mumewe akaona bora akojoe ambadilishie mkojo wake jamaa alipotoka bafuni akavaa haraka na kwenda na mkojo hosipitali, daktari alipo upima ule mkoja akamwambia jamaa mbona vipimo vya mkojo wako vinaonyesha unamimba?.........hapa si zungumzii mkojo mtamu.
 
Hakuna jipya story kama hiz zipo zaidi ya mika 15 nyuma leta mpya...!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Jamaa mmoja alienda hosipitali alipofika akajieleza kuwa anajisikia homa kali, dakatari akamwambia kesho yake apeleke mkojo na uwe ni ule alio ukojoa mapema asubuhi. Jamaa alipo amka akakojoa mkojo akauhifadhi kwenye kichupa akaweka chumbani sakafuni akaenda kuoga. Mkewe wakati anafanya usafi bahati mbaya akamwaga ule mkojo, kwa kuogopa kipondo toka kwa mumewe akaona bora akojoe ambadilishie mkojo wake jamaa alipotoka bafuni akavaa haraka na kwenda na mkojo hosipitali, daktari alipo upima ule mkoja akamwambia jamaa mbona vipimo vya mkojo wako vinaonyesha unamimba?.........hapa si zungumzii mkojo mtamu.

Hahahaha....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom