Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Kwani leo hajala mahindi?? 🤣🤣
😁😆😅😀😜😋 Kwi kwii kw.
Kwani leo hajala mahindi?? 🤣🤣
‘saport’ ndo nini?Hebu twambie wewe ame saport nini zaidi ya kuona ni upuuzi !!?
Acha kutufokea,Ukabila unakusumbua pumbafu la mamtoni.Ungekosa exposure wew ungekua ka zombie.Eti he can dance...so what..kwan watanzania wanataka dancer....what a foolish fool
‘saport’ ndo nini?
Endelea kutawaza wazungu huko kiazi wewTeh teh teh
Nikurushie jero ukanywe supu?
🤣🤣🤣Wewe lofa mbeba box tazama umri unaenda huoo bado akili imedumaa huko ulaya unaishi kihasara ndiyo maana hujitambui....wajanja wa ulaya tunawajua kwajins wanavyopiga biashara lkn ww kazi yako nikushikilia ukuta Tu.
Mtu mjinga utamuona Tu Kwa mwandiko wake inatosha Ila wewe utaishia kuandika kiingereza kibovu basi ilimradi maisha yanaendelea
Wao wanataka watu wajae mihasira tu kama anavyafanya LisuInasaidia kuleta furaha.
Umeuliza nini we juha?Nimekosea herufi ktk kuandika na nnjaua umeelewa ,sasa nnaomba ujibu nilicho kuuliza Mkuu.
Hii ndo sifa kuu ya mazombie ni kushangiliaAcha kutufokea,
Hatujakutuma ushabikie hilo chama lako la familia
Lissu ni bingwa wa kutoa povu.Wao wanataka watu wajae mihasira tu kama anavyafanya Lisu
Sasa wewe utayasikiaje wakati akili zako zote umemkabidha LisuHizo ni mambo ya kawaida sana na hatutarajii kama Wananchi kuona level ya Rais kufanya hivyo.
Tuna hitaji mambo ya Msingi ,atwambie aliko shindwa na kwa nini achaguliwe tena..
Umeuliza nini we juha?
Huku kupanic kwako kutamsidia Lisu kupata kura?Wewe lofa mbeba box tazama umri unaenda huoo bado akili imedumaa huko ulaya unaishi kihasara ndiyo maana hujitambui....wajanja wa ulaya tunawajua kwajins wanavyopiga biashara lkn ww kazi yako nikushikilia ukuta Tu.
Mtu mjinga utamuona Tu Kwa mwandiko wake inatosha Ila wewe utaishia kuandika kiingereza kibovu basi ilimradi maisha yanaendelea
Njoo nawe nikutawadhe basi 😄Endelea kutawaza wazungu huko kiazi wew
Sasa wewe utayasikiaje wakati akili zako zote umemkabidha Lisu
Love him or loath him, Magu got rhythm. He can dance.
Ila bado sielewi kwa nini hao walinzi wake wanavaa njano na kijani za CCM!
Kwahiyo wale wanaoshangilia pale kwa Lisu ni mazombie?Hii ndo sifa kuu ya mazombie ni kushangilia