Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Mabaga fresh, suma g, sogy dogy, zay b, sister p..............Hawa wana nyimbo gani mpya? au wanaenda kuimba yale matusi kwa kushirikiana na mkuu wa sugu? Mtu kama Soggy ataimba nini sasa zaidi ya ule wimbo wake wa soggy mhaya sijui?> watu wanataka radha...zaby b alikosa ubunifu ndio maana soki likamtoa lenyewe sio clouds.. Nguvu nyingi sana...watu wanaenda kushangaa nini pale sasa wakti wadada wanamziki kama hao sijui kama bado wana pumzi ya kukimbizana na vijana wa sasa...